Jamaa amfungukia mange baada ya kuendelea kumdiss zali.

Jamaa amfungukia mange baada ya kuendelea kumdiss zali.

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Screenshot_20170920-170333.png


Screenshot_20170920-170617.png
 
Huyo mjibuji nae kiazi tu....

Hiyo sayansi yake ya kukongoroka kaitoa wapi???

Kukaa na mwanaume anayekudhalilisha ndio ujasiri??? Ndio maana wengine wanapigwa mpaka wanatiwa ulemavu.kisa wafe kijasiri???

Hawataki kuachika kisa atawaoa nani? Ndoa ndio mwisho wa maisha kwa mwanamke? Kwamba asipoolewa jua halitoki mvua hazinyeshi wala koo halipitishi chakula????

Kwa hiyo kucheat ni sifa?????


Pyeeeee

Anyway nilikuwa napita tu
 
Huyo mjibuji nae kiazi tu....

Hiyo sayansi yake ya kukongoroka kaitoa wapi???

Kukaa na mwanaume anayekudhalilisha ndio ujasiri??? Ndio maana wengine wanapigwa mpaka wanatiwa ulemavu.kisa wafe kijasiri???

Hawataki kuachika kisa atawaoa nani? Ndoa ndio mwisho wa maisha kwa mwanamke? Kwamba asipoolewa jua halitoki mvua hazinyeshi wala koo halipitishi chakula????

Kwa hiyo kucheat ni sifa?????


Pyeeeee

Anyway nilikuwa napita tu
[emoji106]
 
Back
Top Bottom