Jamaa amnunulia Mke wake Sex Toys

Jamaa amnunulia Mke wake Sex Toys

Habari zenu,

Leo wakati tupo tunagonga moja mbili kuna jamaa akasema kamnunulia Mkewe Sex Toys ili awe anajiridhisha mwenyewe akiwa amesafiri kikazi.

Jamaa ni Mfanyabiashara na huwa anasafiri mara kwa mara muda mwengine hata Mwezi hayupo kwake. Hili suala limenifanya nijiulize maswali ambayo nimeona niwaulize na nyie pia.

Je jamaa anafanya jambo sahihi kumnunulia Mkewe Sex Toys?
Wewe unaonaje!?... Yuko sahihi!?
 
Huyo jamaa yko ni pilipilihoho na km ni ww ila unazungushia story kwa mwingine pia ni pilipilihoho tu
Wewe na huyo jamaa yako ni kitunguu na nyanya katakata kachumbali agiza limau tunaweka na dagaa nyasa tunakula na ugali mtaaamu halafu safari ya kwenda chooni inakuwa imewadia.
Basi unachukua shoka na kwenda kukata gogo.
 
Habari zenu,

Leo wakati tupo tunagonga moja mbili kuna jamaa akasema kamnunulia Mkewe Sex Toys ili awe anajiridhisha mwenyewe akiwa amesafiri kikazi.

Jamaa ni Mfanyabiashara na huwa anasafiri mara kwa mara muda mwengine hata Mwezi hayupo kwake. Hili suala limenifanya nijiulize maswali ambayo nimeona niwaulize na nyie pia.

Je jamaa anafanya jambo sahihi kumnunulia Mkewe Sex Toys?
ni sawa ni makubaliano yao
 
Kesho mke akiwa sugu usianze kulialia.
Vitu vingine ni ajenda za watu tu
 
Story za vijiweni wote wamekutana watanzania. Na sidhani kama wanakazi za maana. Hamna msnge anaweza kumwambia mwenzake tena mbele za watu eti nimemnunulia sex toys mke wangu.
Unajua maana ya mke. Hii chai.
 
Kutoa Siri za faragha nao ni ujinga.
 
Back
Top Bottom