bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Anamuingizia mapepo ya uzinzi tu kuliwa lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaonaje!?... Yuko sahihi!?Habari zenu,
Leo wakati tupo tunagonga moja mbili kuna jamaa akasema kamnunulia Mkewe Sex Toys ili awe anajiridhisha mwenyewe akiwa amesafiri kikazi.
Jamaa ni Mfanyabiashara na huwa anasafiri mara kwa mara muda mwengine hata Mwezi hayupo kwake. Hili suala limenifanya nijiulize maswali ambayo nimeona niwaulize na nyie pia.
Je jamaa anafanya jambo sahihi kumnunulia Mkewe Sex Toys?
Huyo jamaa yko ni pilipilihoho na km ni ww ila unazungushia story kwa mwingine pia ni pilipilihoho tuUtandawazi unatudrive as kama unavyotaka na si kama tunavyotaka
Wewe na huyo jamaa yako ni kitunguu na nyanya katakata kachumbali agiza limau tunaweka na dagaa nyasa tunakula na ugali mtaaamu halafu safari ya kwenda chooni inakuwa imewadia.Huyo jamaa yko ni pilipilihoho na km ni ww ila unazungushia story kwa mwingine pia ni pilipilihoho tu
Jukwaa si ni la mapenzi? Au na huku tujadili makosa ya ujenzi wa lamiUnaweza ukadhani wananchi wote ndo tuko kwny Muda wa balehe,mada zote Ni za ngono.
ni sawa ni makubaliano yaoHabari zenu,
Leo wakati tupo tunagonga moja mbili kuna jamaa akasema kamnunulia Mkewe Sex Toys ili awe anajiridhisha mwenyewe akiwa amesafiri kikazi.
Jamaa ni Mfanyabiashara na huwa anasafiri mara kwa mara muda mwengine hata Mwezi hayupo kwake. Hili suala limenifanya nijiulize maswali ambayo nimeona niwaulize na nyie pia.
Je jamaa anafanya jambo sahihi kumnunulia Mkewe Sex Toys?
Hakika mashine haina mbadala
Jamaa kakosea sana...
HahaaJamaa kakosea sana...