super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 533
Leo nimeenda kusaga mahindi
Nikamwita we msagaji
Nashangaa nipo nyumbani navuja damu, watu wamenizunguka, majirani wanasema yule jamaa ndio ana roho mbaya hivi ?
Sijui ni nini kinaendelea me nipo zangu tu nimelala siwezi hata kunyanyuka
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikamwita we msagaji
Nashangaa nipo nyumbani navuja damu, watu wamenizunguka, majirani wanasema yule jamaa ndio ana roho mbaya hivi ?
Sijui ni nini kinaendelea me nipo zangu tu nimelala siwezi hata kunyanyuka
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
Sent using Jamii Forums mobile app