Watoto wameshapatikanaView attachment 3201929
View attachment 3201930
View attachment 3201931
View attachment 3201932
Atakaye waona ampigie simu Mr Mohamed kwa namba hii hapa 0744555574.
View attachment 3201935
Duh kazi ipo dunia ina mambAna siku mbili kwenye hiyo nyumba
Anasema wameitwa tuu kituo cha polisi sijui cha wapi nimesahau wakawachukue..M
Mungu ni mwema sana, mama yao anasema wamewapata wapi
Huyo dada nae kapatikanaAnasema wamerudi na mapele pale kwa lafudhi ya kizanzibar..ndo wanawapeleka hospital kwa check up
Mluu ni ngumu kupata jibu la moja kwa moja. May be wahusika wanakuwa na sababu zaoKwanini watoto huibwa?
Hapana taarifa haijasema hivyo..kwenye hyo clip mama hajaongelea hiloHuyo dada nae kapatikana
what was the reason for those kids to be kidnapped..?Sina bando la ku upload video ya mama yao anaongea
Labda kwa imani za kishirikina...what was the reason for those kids to be
Kwahy walitekwa?Hapana taarifa haijasema hivyo..kwenye hyo clip mama hajaongelea hilo
i think we need to take care of our kids!Labda kwa imani za kishirikina...
Duuh hatar sana, huyo mfanyakazi alimuokota hana ndugu? Ndio matatizo ya kubeba wafanyakaz wa ndani kiholela.Kama alivoeleza uyo baba wa watoto anasema mdada amekaa naye siku 3 tu, akatoka na watoto akawaambia anaenda nao dukani, from there akazima simu, hata waliomuunganisha kumpata huyo binti wa kazi anasema wote hawapatikani, kwaivo anahisi ni kama ndo mpango wake ulikuwa
Kama wamepatikana ni jambo jema isije ikawa huyo mfanyakaz alipotea njia ya kurudi home maana siku 3 Bado ana kamba mguuni.Watoto wameshapatikana
Yeah for sure...i think we need to take care of our kids!
Siku hizi wadada wa kazi wanapatikana kwa agents wa huko vijijini wanwatafuta mabinti yaan kazi yako kumpa sifa za binti unayemtaka tu, unatuma nauli na posho yake afu anakutumia binti.Duuh hatar sana, huyo mfanyakazi alimuokota hana ndugu? Ndio matatizo ya kubeba wafanyakaz wa ndani kiholela.
Ndiyo azime na simu ghafla? Inamaana kama ni kupotea angepiga simu wakamuelekeza njia au wakawafuata walipoKama wamepatikana ni jambo jema isije ikawa huyo mfanyakaz alipotea njia ya kurudi home maana siku 3 Bado ana kamba mguuni.
Walikuwa kidnapped ee?what was the reason for those kids to be kidnapped..?
What if kama imezima chaji? Tunazijua vizuri simu za wafanyakaz wa ndani zinavyokuwaga Tena ana siku 3 kutoka kijijini na mshahara usikute anamlipa elfu 30 Kwa mweziNdiyo azime na simu ghafla? Inamaana kama ni kupotea angepiga simu wakamuelekeza njia au wakawafuata walipo
Sidhani kama kutekwa itakua tuu msichana alikua na lake jambo..ngoja tutasikia sababuKwahy walitekwa?