[emoji849] aisee au karogwa? Mpe pole sana jamaa yako mwambie muda ni tiba atakuwa sawa tu.Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,
Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.
Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.
Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.
Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
Mimi nakuaminia mzee wanguUnacheka ila unatakiwa kujua sijawai kuleta Uzi wowote Humu wa kuomba ushaur hata siku moja.
Siko hapa kutafta huruma au kufurahia kijiwe.
Na Kama unanifahamu vizur,
Sijawai kuleta nyuzi za kitoto kitoto Humu.
Am very serious with this brother, Naomba na wewe ulichukulie serious na kwa uzito wa Aina yake.
JF Ni kisima cha maarifa mkuu
Mwambie asijiue aje nimpe raha za dunia hadi asahau kama aliwah kukutana na mwanamke mwingine. Ila atanilipa kwa kazi ya kumfanya amsahau huyu manzi wa awali.
Hahahaha hata nyie watakatifu huwa mnawaliza Rais hivihiviHuyo mmoja kweli ndiye atuvunjie uaminifu sisi wote?, ni huyo tu asiyejielewa wengine wapo vizuri mkuu, kuwa na imani na sisi[emoji12]
We ishi nae kwa machale tuUmezungumza Kama jamaa flan nae mchana kamtolea mifano Kama hiyo.
Kiukweli maumivu anayopitia uyu jamaa anasikitisha Sana.
Kuna MDA nmewaza ata uyu MKE wangu asije nipiga na Mimi kitu kizito maana na alkua karibu sana na yule mwanamke.
Sijajua anaewashaurigi wanawakevitu vya kikatili Kama hivi Nani mkuu[emoji848].
Yaan mpaka nmeanza kumhofia at uyu MKE wangu[emoji17]
I wish I could be you!,Watu wapo kimaslahi.
Ukijitia una mapenzi ya kihindi lazima utoe kamasi.
Aku...
Nimekuwa sugu siku hizi...
Sipendi pendi ovyo.
Nikiandika I love u bas ujue imetokea kwenye ulimi lakini moyoni mkavuuuuu
LInaonesha jamaa alkua anakula shemej yake ktambo sanaa
Ilikiwaje lete habari nzimaHakuna unyonge
Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Nimerudia Mara tano "hkuna unyonge"
Mwambie mshkaji afanye kitu kitakachompa furaha hata kma ni kumkeketa huyo Malaya bila ganzi.
Iliwahi kunitokea hii nilihakikisha familia nzima inapata HEART ATTACK
Lazima tukiwa Kama binadamu wenye utashi wa kujua lipi baya na lipi zuri tuheshimu
i. Rasimali za watu wanaoamua kutusaidia hata kwa kivuli Cha mapenzi
ii. Tutimize ahadi "I will marry u after four years" then ndani ya miaka mi4 unaolewa na mshkji wangu?
iii. Tuheshimu TIME ya mtu she had a chance to ignore misaada yote kutoka kwa jamaa siku ya kwanza... Umaskini wake usitumike Kama JUSTIFICATION ya upumbavu alioufanya despite of all pple yy ameona aolewe na mtu wake wa kribu.
Narudia tena HAKUNA UNYONGE
[emoji2088][emoji2088][emoji2][emoji2][emoji16][emoji28][emoji28][emoji1]
Kuna nn ?Hiz siku mbili tatu kuna neno nikiliona I feel so bad kiukweli
Nilikuwa napenda hadi napenda tena....ila kuna kitu kizito nilipigwa aseee ndo akili ikafunguka kwamba kumbe dunia ninayoishi sio kabisa kama ya wengine. Siku hizi najiona kama vile nimegraduate....ili ujifunze kazima uumie hadi moyo ufe ganzi ndo utaelewaI wish I could be you!,
Mimi bado napenda kizamani aseheh!napenda halafu napenda tena na nkiwa na mtu nakua committed mpk najiogopa lakini ndo tunaongozwa kuumizwa...
Natamani wanangu wasirithi hii kitu waje kua waje kua wajanja wajanja tu!
Nikisema "I love you" jua mpk moyoni kabisaa...
Na nkiumia naumia nakonda kabisaa yaani mpk usingizi sipati nawaza...Ila ndo hua inakulaga kwetu.
I cab feel that boy yaani namuonea huruma sana hakuna kitu kigumu km psychological torture...!!
Dunia ya sasa usije ukapenda kupitiliza utayaacha maisha mapema sana, hata ukiwa na mkeo ishi nae kwa akili akizingua na wewe unazingua ili mkae sawa tena akileta za alifu ulela ulela, hadithi za esopo, wewe unamzoom tu na kufanya mambo ya kiumeMkuu so rahisi kihivyo atamove on ila itachukua muda sana
Kwa hapa huyo Dada hakumpenda huyo kaka sema kwa kua walikua mbali mbali ndo maana hakua anajaua tabia za msichana wake! Aachane nae itamkosti
Anasubiri nini kujifunza kuroga!
Hilo nalo neno,Hata wakirudiana mwanamke atakuwa ameshaona mwanya wa kumtawala jamaa. Jamaa hata akirudiana na huyu mwanamke atateseka sana kisaikolojia kwa sababu kusahau tukio kubwa kama hili ni mtihani.