Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Nshaumia sana tuuu!ila ndo nilivyo am the believer of one man hapo ndo nachekwaga sana na mashosti they think am a dumb stupid creature to exist...!!!
Ila haya maisha kwa sasa nkikuta mtu anadanga simhukumu na nikikuta mtu katendwa pia simhukumu huwezi jua pia...!!!

Ila huyo Dada kachemka sana yaani kama @deepond alivosema anafanyiwa vyote then kaenda kuuingia ukewenza...hyo Kali yaani itakula kwake
 
Very sad,of all people akachagua rafiki ya boyfriend wake????!!! Mtu wa hivi yuko soo heartless ....huyo muowaji ajiandae, kuwa na mtu wa hivi ni ngumu sana,hana moyo she can do anything.
.
KWAKWELI Bora hata nyie wanawake wenzake mmeliona.

Najaribu kuimagine
Uyu mwanamke anaroho Kias gani,

Ni ukatili ulopitiliza[emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujifanyaga marafiki mpaka mnaunganisha family affairs zenu na wake/waume zenu matokeo yake huwa ndio kama haya...Jifanyen wazungu tu..HAPA STORI TU, KULA KILA MTU KWAKE.
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Uyu mwanamke Ni mhuni tu,
Kwenye sim anaonekana kujutia, kujilaumu na kuwalaumu wazazi na ndugu zake mpk anatokwa na machozi.
Ila huwez amini alitupaki usiku mzima kumsubir yeyee na hakutokea.

Nakwa maelezo ya shoga Ake jana alivokwenda kwao, haonekani mwenye hofu Wala wasiwasi wowote.

Yuko sawa TU anaendelea na shughuli zake like nothing happened.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 4 unakaa na mwanamke ambae anataka kuolewa wewe huendi kumuoa unategemea nini? Msela katokea mda mfupi kamuahidi ndoa na akafanya kweli.

Mwambie apige moyo konde mshkaji wako, next time akitaka mwanamke wa kumuoa asicheleweshe.
Ndoa ilkua ni mwakani mkuu Wala hakukua na tatizo Wala kinyongo chochote kwa mwanamke husika.

Wote walikua happy kufunga ndoa mwakani,

Hili lililotokea hapa katikati imekua Ni surprise Sana mkuu, ukizingatia Ni jins gan Hii couple ilipendana na malengo walokua wamejiwekea[emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkitoka out ya mbali na wenzi wenu au wachumba kimakundi basi jua lolote linaweza tokea . Mmoja wenu lazima aharibu kwa rafiki yake. Na kutongoza huwa ni rahisi sana. Mashemeji wanakulana sana, mkirudi tayari kuna mahusiano yameingia mdudu.
Huwa tunatoka Mara kwa mara na Tumezoea kuachiana familia wengine wanapokua mbali safari za mbali kikazi.

Nnachohisi huu mchakato umeanza MDA,

Kiukweli
Hili Jambo limeumiza Sana Moyo[emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wanatanguliza hisia mzee, hapo jamaa atakuwa kamuimbisha Kwa maeneno matamu , kama kawaida ya michepuko mwishowe kabeba mazima
Vipi kuhusu kusimamia shoo? Labda brother big kamfunika dogo kwenye shoo??
 
Anacheza kwene umri gani huyo bidada? Ukute ni kadogo bado hata hajui nini anataka
 

Acha mawazo ya kijinga (excuse my language)...

Kama ulivyoeleza yote ni kweli(sio chai) basi huyo binti ni pimbi wa mwisho kwa sababu haeleweki...

1. Anadai anampenda sana dogo
2. Anadai anapendwa sana na B tokea muda mrefu amekuwa akimuhitaji, hii ina maana huyo mwanamke katongozwa na kakubali...
3. Anadai wazazi na ndugu zake wanampenda sana B, je hao wazazi walijuaje uwepo wa B wakati miaka yote minne wanatambia kuna dogo, jibu ni kuwa mwanamke mwenyewe ndio alimtambulisha B kwa wazazi wake na kumtambulisha huko lazima alisema ameshaachana na dogo...

Conclusion:
Huyo mwanamke ana mahesabu yake, achaneni naye, mnavyombebeleza mnazidi kumpa kichwa...

Mwambie dogo wachuchu wapo wengi sana hadi wengine wanajiuza...
 
Dogo akomae atafute mwanamke mwingine manake uchumba wa miaka minne tayari amefanya research ya kutosha na ana P.H.D ya uchumba sasa ni wakati wa kutafuta mtu wa kufunga nae ndoa rasmi..
 


Binti analalamika eti jamaa alikuwa Anaona hayuko serious
Msimtaftie mwenzenu matatizo huyo binti ni mjinga na hafai. Yan huduma zote hizo alizopewa bado haliona jamaa hayupp serious nae? Hapo hakuna ndoa ya kulazimishwa wala nini sijawainona ndoa ya kulazimishwa na ndugu kwa mtu wa dink tofauti na ya kwenu. Huko kujiloza ni maigizo tu yakuficha aibu
Bas tambua ata mkimtorosha bado ipo siku atamkimbia kwa kisingizio kingne.

Ashukuru Mungu kwa kumfunulia hili mapema
 
Mshauri dogo aaachane nao. Japo ni kama ngumu kwa wanaochipukia mapenzi. Mwanamke tu?. Biashara yake iko strong..! mwambie asonge mbele na mambo yake. Asitetereke.

Huwezi jua MUNGU kamuepushia na kitu gani mbele. Tena ajitahidi sana asimfikirie tena huyo mwanamke. Amfute kabisa kichwani.

Pia mwambie awe mtulivu sana kwa sasa. Asikimbilie kuvuta ngoma ingine. Avute pumzi kama mwaka akisikilizia.

Ajabu huyo mwanamke hautapita muda ataanza kumsumbua dogo. Ksbb dogo atakuwa tayari amemfuta kichwani haitampa shida. Wala asijaribu kushughurika nao kwa lolote. Awasamehe ksbb pia atakuwa amejisamehe na yeye pia. Hao MUNGU ndie atashughurika nao. Malipo yapo hapa hapa duniani.
 
Huwa tunatoka Mara kwa mara na Tumezoea kuachiana familia wengine wanapokua mbali safari za mbali kikazi.

Nnachohisi huu mchakato umeanza MDA,

Kiukweli
Hili Jambo limeumiza Sana Moyo[emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kitu ni hatarii. Hata wewe itakuja kukuta usipokuwa makini.

Kama haupo usiruhusu rafiki yako atembelee familia yako utakuja kumlaumu mke wako bure mambo huanza polepole kwa kuzoeana. Hata wewe kama jamaa yako hayupo hakuna kutembelea familia yake ni mpaka ipigwe simu kukiwa na shida muhimu. Piga simu mara mojamoja tu kujua wanaendeleaje basi.
 
Ntauzingatia ushaur wako mkuu[emoji120]
 
Bro kukutoa hofu ni kwamba huyo jamaa yenu amesha wadinyia wake zenu kubalini kataeeni huo ndio ukweli na Kama haja mdinya mkeo Basi mkeo ni mbaya Sana Hana mvuto....poleni na rafiki yenu jamaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…