Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Siwezi kuroga kwa sababu ya mwanamke. Roga km mtu kaiba gari yako au hela ila siyo mwanamke. Huyo dogo inabidi afanye sherehe ndogo ya kujipongeza maana angemuoa J angejikuta amepata watoto 3 na wote wa huyo brother wake. Nina ushahidi
Usemalo Lina ukweli kabisa, Hawa hawakuanza hivi karibun..

Huenda kulkua namahusiano ya Siri yanaendlea hapa katkat
 
Mpuuzi mpuuzi TU,
sijajua uko kwenye uke wenza kafuata nini.

Na sijui Ni Nani alimshaur kua uke wenza atafurahia maisha
Hana muda huyo atapigwa tukio atarudi...muda utaongea. Kuna muda wanawake tunazingua sana.
 
Mimi nakuaminia mzee wangu

We sio mtu wa mchezo mchezo pia uko deep kwenye ile tasnia pendwa [emoji2]

Kwa leo tuishia hapo

Kama vipi mchukueni dogo nendeni Zanzibar au bagamoyo akaubwage moyo

Badilisheni mazingira
Ntalifanyia kazi mkuu,[emoji120]
 
Kwa hapa huyo Dada hakumpenda huyo kaka sema kwa kua walikua mbali mbali ndo maana hakua anajaua tabia za msichana wake! Aachane nae itamkosti
Kabisa mkuu, kUna la kujifunza hapa
 
Bro kukutoa hofu ni kwamba huyo jamaa yenu amesha wadinyia wake zenu kubalini kataeeni huo ndio ukweli na Kama haja mdinya mkeo Basi mkeo ni mbaya Sana Hana mvuto....poleni na rafiki yenu jamaaa
Asante mkuu,
Hilo kwa MKE wangu SIDHANI ila sio vibaya umenipa tahadhari,

Shukran Sana ila ntalifanyia uchunguzi ilo suala.
 
Hata msihangaike na yote hayo binti wala hana upendo anaosema angekuwa real asingefika hatua ya kuolewa na huyo jamaa hapo anawazuga tu,kubwa endeleeni kumshauri huyo dogo na kumpa maneno ya faraja is the matter of time atakuwa sawa tu.
 
Asante mkuu,
Hilo kwa MKE wangu SIDHANI ila sio vibaya umenipa tahadhari,

Shukran Sana ila ntalifanyia uchunguzi ilo suala.
uchunguze ili iweje.

cha kufanya just cut off the guy muendelee na maisha yenu.

Usitake kuja kuharibu ndoa yako kisa kuchunguza yasiyokuwepo.

Trust your woman, not all women are hoes.
 
Ninavyohis mimi hao walianza mahusiano walipokutanishwa tu inaonesha wana muda ktk mahusiano mpk kufikia kutaka kuoana ,na mshaur rafik yako asimng’ang’anie huyo binti akubali tu matokeo amuache kbs alie avumilie maumivu anayopitia ila ipo siku yatakwisha kwanza bint anaenda kwenye ndoa yenye changamoto ya wawili atammkumbuka jamaa na atamkuta jamaa tayar ana mke wake tena wanapendana avumilie tu hiki kipind cha mpito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…