Atakuja kutembea na mkeo shaurilo mkuuuKiukweli nmejihisi kumchukia Sana jamaa.
TheirWomen are loyal to there feelings
WANAWAKE WANAPENDA CHANGAMOTOAfu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,
Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.
Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.
Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.
Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
Inaonekana English ulipata A sio!!! π πTheir
Not there
Hapana inanisumbua akili nikiona makosa madogo madogoInaonekana English ulipata A sio!!! π π
Mangi umelewa acha pombe dogoHapana inanisumbua akili nikiona makosa madogo madogo
Usiku nisingelala kabisa
Three yrs now, dogo kamove on, Ila suala la ndoa Bado mpk sasaAisee!! Mpaka nimeogopa. Mtu akikupiga tukio nzito kama Hilo lazima ubaki na athari, inahitajia ujasiri kuamini tena , kama hatokuwa na huo ujasiri hata kuoa huenda asioe tena.