Kwanza
Dogo amekaa muda mrefu sana na huyo bibie bila ndoa yawezekana likawani kosa kwa huyo mchumba ake maana anaona dogo ni mlaghai.
Pili
Hiyo pisi kali ya dogo imeenda penye inajaaliwa kuliko huko kwa dogo, unaweza usiamini lkn pisi ilimtongoza huyo jamaa yawezekana hata kumfanyia mambo ya nyusi mzee kaingia laini sasa mambo moto.
Tatu
Dogo mwambieni mwanamke siyo mguu wala moyo wake amemkuta akiwa mkubwa tu , mbona wapo wengi tu atapata mzee kajitwalia mwachenj.
Nne
Huyo mzee licha ya kupendwa akapewa tunda kazi aliyoifanya mpaka pisi kali akatamani ndoa siku ileile,
Mwisho
Waume za watu watamu hawana kuchunga sana, pisi kali anapenda kudeka dogo hajui kubembeleza zee ndo kazi yake , mtafaruko ktk game , kanyaga twende mzee baba. Dogo atulize akili hiyo pisi ingemtesa ashukuru Mungu asonge mbele