Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Mwanamke kafanya uamuzi sahihi 100% Hakuna uchumba wa miaka 4 ni ubabaishaji. Halafu kama yeye amepanga alishindwa nini kuoa wakaendelea kuishi hapo wakimalizia nyumba? Haimaanishi huyo dada kapata mume Bora anaweza achwa baadae ila sio issue angalau alichagua mtu anayetaka kumuoa.
Kwa kweli vijana mshukuru sio watoto wote wa kike wamezaliwa na wanawake wenye akili hii aliyoionyesha madam mwajuma.
 
Mmmmmmh hapa pagumu sasa, kwani alishindwa kupanga? Yaan unazidi kutuchanganya wachangiaji wenyewe. Lol

Eti utoke kufanya kazi ua utendaji tarafa kama anavyosema japo ni afisa tarafa, kwenda kufanya kazi sheli ..... daaaaa hatari sana. Kwa usawa huu utoke serikalini uende sheli? Ambayo siku 2 tatu unafukuzwa.

Anyway tumetofautiana
 
Eti utoke kufanya kazi ua utendaji tarafa kama anavyosema japo ni afisa tarafa, kwenda kufanya kazi sheli ..... daaaaa hatari sana. Kwa usawa huu utoke serikalini uende sheli? Ambayo siku 2 tatu unafukuzwa.

Anyway tumetofautiana
Sheli kuna kazi nyingi tena ajira rasmi sio kuweka mafuta kwenye gari tuu
 
Mkuu nisiache na mm kuchangia..moja mbili...

1.Mwambie Huyo Bingwa...Hili nalo Litapita kama mengine yalivyopita

2.Muda ndio Mwamuzi wa Haraka Hapa Duniani..Ampe huyo mwamke muda...Moya wa Dogo ukipona wa mwanamke utaanza maumivu yasioisha

3.Hakuna Urafiki wa namna hiyo wala ukaka huyo ni nyoka na nyoka huwa tunajua tunawafanya nn...asitake mazoea nae

4.hela ndio kila kitu..aitafute kwa hasira sana halafu aoe dem ambae anafaa kuwa mke

5.Ajikaze...Ndio maana kaumbwa mwanaume
 
Kuna haja ya kuangalia yumba(familia) unayo enda kuposa au kuanzisha mahusiano nayo.

Angalau iwe na hofu ya Mungu ata kido au iwe familia ye heshima kidogo, utaepuka mambo mengi.

Jamaa anaoneka ni mtu mstaarabu kwa mujibu wa maelezo yako. Hivyo basi Mungu amemuepusha na hiyo familia ya kikora. Kwamaana imeandikwa "Bwana atakupa msaidizi wa kufanana wewe" kwaiyo huyo muhuni mwacheni aolewe na muhuni mwenzake.

Jamaa awe na subira miaka 39 bado hajachelewa sana wala hajawai. Amuombe Mungu ampe anayemfaa, mstaarabu kama yeye.

Tokea juzi uzi ulipo anza nilijua kabisa uyo dada anadanganya kuwa kalazimishwa na asingetokea hiyo jioni. Lakini shukuruni hakutokea kwa sababu kuna uwezekano mkubwa kama angepata mualiko huo wa kuonana na nyie, siku tatu kabla au mbili, angewapangia tukio la ajabu kama siyo criminal basis la udhalilishaji.

Hampendi uyo dogo na inawezekana hajawai kumpenda. Kama angekuwa anampenda angemwambia tokea yeye mwenyewe kwa mdomo wake, kuwa rafiki anamtongoza, haiingii akilini adi anafikia hatua ya kuposwa. Huyo dogo ana habari. Alafu anadai kalazimishwa na nyie bado mna muamini na kutaka kuonana naye.

Sheria zipo kulingana na Sheria za ndoa "Marriage Act" dogo anaweza kudai malizake na gharama alizo tumia kipindi cha uchumba wao, ikiwa ni pamoja na zawadi na gharama nyingine kama vielelezo vipo. Ila kwa upande wa kiroho tunashauri aachane navyo na asemehe yaani asibebe manung'uniko moyoni "akomboe nafsi yake" hii njia ya kiroho ndiyo nzuri zaidi. Maana unaweza kutumia sheria ukarudishiwa mali zako lakini ukabaki unateseka moyoni miaka yote.

Mwisho kabisa Nina swali. Yule binti aliye zaa nae utotoni hadi wakaacha shule,hakufaa kuwa mke wake?. Mtoto aliye zaliwa anamtunza kama inavyo stahili?.
Shukran Sana mkuu kwa kuufuatilia vema huu mjadala,

Pamoja na mchango wako uloshiba vilivyo,

Khs mama wa mtoto wake sijajua Yuko wapi kwa Sasa na kwanini hawaishi pamoja (labda ntakuja kumuuliza)

Ila nnachojua mwanae anamlea yeye mwenyewe na mama yake mazingira Yale Yale home kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti utoke kufanya kazi ua utendaji tarafa kama anavyosema japo ni afisa tarafa, kwenda kufanya kazi sheli ..... daaaaa hatari sana. Kwa usawa huu utoke serikalini uende sheli? Ambayo siku 2 tatu unafukuzwa.

Anyway tumetofautiana
Hata Iyo kazi alokua akifanya ilkua Ni bosheni tu mwanamke mwenyewe asijiskie vibaya kwasababu hajamuoa bado.
Na hata Ela alokua akilipiwa hata sijui alkua anafanyia nn maana kila kitu dogo alkua anamgharamia.

Ila jamaa lengo lake kubwa,
akishamuoa rasmi aje asimamie biashara zake tu.(Hii tunalijua sisi watu wake wa karibu TU)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nisiache na mm kuchangia..moja mbili...

1.Mwambie Huyo Bingwa...Hili nalo Litapita kama mengine yalivyopita

2.Muda ndio Mwamuzi wa Haraka Hapa Duniani..Ampe huyo mwamke muda...Moya wa Dogo ukipona wa mwanamke utaanza maumivu yasioisha

3.Hakuna Urafiki wa namna hiyo wala ukaka huyo ni nyoka na nyoka huwa tunajua tunawafanya nn...asitake mazoea nae

4.hela ndio kila kitu..aitafute kwa hasira sana halafu aoe dem ambae anafaa kuwa mke

5.Ajikaze...Ndio maana kaumbwa mwanaume
Shukran Sana mkuu kwa mchango wako, unafanyiwa kazi [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Update......
Dogo anaendelea vizur,

LEO KAANZA KWENDA TENA KAZINI.

Nmefayafanyia kazi maoni yenu kwa ufasaha kabisa na naendelea kuyafanyia kazi.

Mungu Ni mwema[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeeeeh mbna unatuchanganya sasa, yaan had wadogo zake wanaishi ktk nyumba anayolipa kod dogo, afu wazazi hawamtaki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh hii kali. Sasa
Wale wazazi wake Ni wapumbavu,
Na inaonekana msemaji mkubwa was ile familia Ni mama mtu.

Mzee wao namuona Kama zimeruka ruka Kias flan, ana upole flani hivi wa kizoba zoba.

Tangu uyo binti kaenda kutolewa mahali kwao alikwenda na uyo mdg wake na hawajarudi wote kule Hadi leo Hii.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom