Jamaa aoa wake 3 wa kizungu, aombwa asifanye kazi yoyote akae nyumbani kwa ajili ya kuwastarehesha kitandani

Nikiwaambia haki yao ni kupigwa miti na kuzalishwa kuna watu wanakunja Ndita haya, ngoja nisiseme mengi hapa maana nitaambiwa mzee wewe si unakataa Ndoa imekuaje umekosea njia au?

Najua mtakua mshamuelewa jamaa Davis anamaanisha nini, kwa wasioelewa waendelee kujitafakari tena upya aidha wakae nyumbani wakipiga GYM kwa ajili ya kuwakaza wake zao au wakomae na kazi huku wake zao wakitafuta wa kuwakaza na kuwachapa.

Nukta!
 
Hizi ndizo kazi pekee watu weusi wanazitendea haki
 
Wamemgeuza kua sex toy wao.... soon itakuja habari kua ananyanyaswa kingono na wanawake hao
Hamna naona itakua ni makubariano tu kati yao na mume wao huyo m-nigga mwenye parachichi kubwa, si unajua wazungu kwa kupenda maparachichi makubwa ya watu weusi ni hawajambo jambo habari gani?, akiwa kazini anawaza parachichi tu sio kingine πŸ˜‚
 
This Nigga enjoying his life to da max!
 
Kwa vijana wa huku walivyo nyoronyoro kupeleka moto hata na mmoja tu itabidi vumbi la kongo lihusike kuwatoshelezea wote watatu. Vipi huku ule utalii wa ngono uliishia wapi? Kuna majimama ya kizungu yalikuwa yanakuja kupelekewa moto tu yakidai majamaa zao wa huko kwao wanayo vidogo. Yalikuwa yanawapenda wale jamaa wachafuwachafu marasta au wamasai fulani walinziwalinzi wawapelekee moto. Cha ajabu hao majamaa kama yameoa yanaenda kuwatonya wake zao kuwa yamepata kibarua cha kupeleka moto kwa hao majimama na inakuwa hakuna ugomvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…