Jamaa "aokota" mwanamke ombaomba mtaani, amuogesha, atangaza ndoa

Mmmh so wakat wanakutana barabarani alijiandaa akapiga picha kabisa?
 
Mbona kabadilika tena kapitiliza kawa kama umber ruty
 
Siku mkikosana sasa utasikia β€œwe si ulikuwa kichaa na mwehu kabisa nikakusaidia maisha”

Maisha magumu yanaweza kukufanya
 
Tumpe muda. Ila jasiri haachi asili
 
Kwahiyo huyo msichana alikua ni mzma tuu wa afya alivyookotwa na jamaa?
Tatizo nn mpaka huyo bint mdogo aanze kuranda mtaani??
Mbona posta wamejaa wengi tu
Au nenda pale mnazi mmoja kuanZia saa 1 jioni utakuta pisi kali ziko road zinaomba
 
Anakuja kushika mimba anazaliwa mwana asiyefanana na baba na ajibiwe kwa nyodo na mama mtu kuwa sio mwanao.
 
Halafu baada ya ndoa aanze kucheat na masela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…