Jamaa kaamua kujipa raha Mwenyewe. Kaigeuza Changamoto kuwa Fursa

Duh aiseee πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sema Kwa kuwa ni wazungu.Ingekuwa Afrika hayo maji yangekuwa na uchafu kiasi kwamba huwezi kuogelea namna hiyo.Tunajionea kariakoo Kila siku chemba zinavuja maji ya vyooni na hakuna hatua zinachochukuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…