Jamaa kafunguka

Jamaa kafunguka

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
1378252_568588583194738_268008711_n.jpg
 
I reserve my trust kwa hayo maneno.

ila kama yametoka kwa huyo ambae inaonekana ni account yake sishangai maana Kuna akili ya ubongo wa fleva.

Ni matumaini yangu kwamba celebrity anakuwa na lifestyle inayolinda ucelebrity wake.
 
huyu alieandika ivyo ni diamond huyuhuyu au??? mbona!????
 
I reserve my trust kwa hayo maneno.

ila kama yametoka kwa huyo ambae inaonekana ni account yake sishangai maana Kuna akili ya ubongo wa fleva.

Ni matumaini yangu kwamba celebrity anakuwa na lifestyle inayolinda ucelebrity wake.
aaah wa kibongo mbona kawaida sana
 
Shauri zake kama ni yeye kaandika maana hata mama yake naona kama ni mwembamba vilee...
 
Shauri zake kama ni yeye kaandika maana hata mama yake naona kama ni mwembamba vilee...
aisee kila mtu na mtazamo wake pia kwenye mapenzi mana mi wembamba ndo ugonjwa wangu
 
Sasa kama ndio hivyo mbona anapenda kudate na vimodo? Au ni wakuuzia sura tu?
 
aisee kila mtu na mtazamo wake pia kwenye mapenzi mana mi wembamba ndo ugonjwa wangu

ktk hili tuko pamoja mkuu,mimi sipendi wanawake wanene kabisa,napenda vimbayuwayu ambavyo vikiwekwa kwenye upepo mkali unaweza kusema vitabebwa.
 
Back
Top Bottom