DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Nipo sana mkuu,Sikuoni kwenye group letu
Jana nlkuepo live mpaka game za uefa zote zinaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo sana mkuu,Sikuoni kwenye group letu
[emoji120][emoji120]Mimi nabet sana huwa naona raha kubet kila weekend natenga 20,000 za bia na 10,000 ya kubeti ikipigwa hiyo 10,000 sibet tena mpaka wiki ijayo lakini nashukuru mungu mtaji wangu wa kubeti ni kama 90,000 na muda wa kama miezi miwili sijaweka hela yoyote jana liverpool iliniongezea mtaji wangu.
Nashauri tusibet kwa malengo ya kupata kipato, bali iwe kama mchezo game.
Haramu!? kwani kakwambia alienda kubetia kanisani/msikitini?Kamari haimwachi mtu salama....kwanza kubeti ni haram lakini watu wabishi na hawataki kusikia...mimi simpi pole kwenye upuuzi kama huu ambao Mwenyezi Mungu anaupiga vita....
ExactlyHahaha,aiseee..mil 6 ilikuwa ni stake kaka?
Wazee Wenzangu Wa Kuweka Mzigo (Kubet) - Karibuni Tubashiri Mechi Za Leo! - JamiiForumsHuo uzi wa mkeka unaitwaje (sidhani kama anaifuatilia jf)
Ila asijetumia hii adivanteji ya kumsaidia jamaa kuomba papuchi ya shemela[emoji12] [emoji12]Kuisaidia familia yake is 100% good!
300 x 10 je?
Katika betting Kuliwa ni jambo LA kawaida sana.Teh,yaan stake mil 6 halaf inaliwa unakuwa normal
Mwambie aache tamaa bet responsibly300 kivipi wakati Kapoteza 3m? Au hujasoma tittle vizuri mkuu.
Duuh! we jamaa mtaji wako sh. Ngap? Kampuni gan unabetia?Binafsi;
Niliwahi kuliwa Million 6 kwenye mkeka mmoja na sikupata presha.
Nlicheza mechi 2 tu, nkawapa ushindi Bayern na PSG wote walikua wanacheza nyumbani.
Bayern alishinda ila PSG alitoa sare, mikeka ukachanika.
{Wazee wenzangu kule kwenye Uzi wa mikeka ni mashahidi kwenye hili}
Nilitulia, Nikarelax na Nikaendeleza Mapambano.
Baada ya wiki 1,
Namaanisha wiki ilofuata nilimpiga muhindi million 18.
Na mapambano Bado yanaendelea.
Haramu!? kwani kakwambia alienda kubetia kanisani/msikitini?
Ahahahaj...mm nilifanikiwa kutoka huko mapemaa sana..Nilivyoona tu hatuend sawana Mihindi nikanyoosha mikono fasta kabla sijazama..Aisee kubeti ni pepo..ila huruma imenijaa moyoni mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ishaliwa na mchepuko mkuu hahahahahahah