Jamaa kaliwa Tshs. 3,000,000 kwenye kamari, yupo hoi kitandani

Jamaa kaliwa Tshs. 3,000,000 kwenye kamari, yupo hoi kitandani

alibeti mikeka 10 @ 3,000,000
ina maana kwa lugha ya kihisabati
mikeka 10 kwa kila mkeka sh 3,000,000
10@3,000,000(10×3,000,000) = Sh 30,000,000/= ina maana anadaiwa kiasi hiki.
 
alibeti mikeka 10 @ 3,000,000
ina maana kwa lugha ya kihisabati
mikeka 10 kwa kila mkeka sh 3,000,000
10@3,000,000(10×3,000,000) = Sh 30,000,000/= ina maana anadaiwa kiasi hiki.
kumbe 10@300,000 upo sahihi mpe pole jamaa
 
Akizinduka tena atatafuta buku ili akabeti tena! ukisha ingia huko huwezi kutoka,sijawahi kubeti na wala sitokuja kubeti,ni maamuzi yangu tu na kila mtu ana maamuzi yake kwenye maisha yake,Mpe pole sana jamaa yako.
co ulijuaje kuwa ukishaingia huwezi kutoka!!
 
subscribe jukwaa letu pendwa la wazee wa kubet hakika hutojuta......unatfuta odds 1.8 kwa options rahis mfano DC kwa team ya uhakika kuwin unaweka laki faida 80k....unapumzika mpka kesho

mchezo huu wanpiga hela wenye mitaji mikubwa
kumbuka tamaa mbya
the high risk the the return
Kule nipo muda mrefu
 
Mimi nabet sana huwa naona raha kubet kila weekend natenga 20,000 za bia na 10,000 ya kubeti ikipigwa hiyo 10,000 sibet tena mpaka wiki ijayo lakini nashukuru mungu mtaji wangu wa kubeti ni kama 90,000 na muda wa kama miezi miwili sijaweka hela yoyote jana liverpool iliniongezea mtaji wangu.

Nashauri tusibet kwa malengo ya kupata kipato, bali iwe kama mchezo game.
 
Binafsi;
Niliwahi kuliwa Million 6 kwenye mkeka mmoja na sikupata presha.

Nlicheza mechi 2 tu, nkawapa ushindi Bayern na PSG wote walikua wanacheza nyumbani.

Bayern alishinda ila PSG alitoa sare, mikeka ukachanika.

{Wazee wenzangu kule kwenye Uzi wa mikeka ni mashahidi kwenye hili}

Nilitulia, Nikarelax na Nikaendeleza Mapambano.

Baada ya wiki 1,
Namaanisha wiki ilofuata nilimpiga muhindi million 18.

Na mapambano Bado yanaendelea.
Wee jamaa kubet ni maisha yakoo...! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi;
Niliwahi kuliwa Million 6 kwenye mkeka mmoja na sikupata presha.

Nlicheza mechi 2 tu, nkawapa ushindi Bayern na PSG wote walikua wanacheza nyumbani.

Bayern alishinda ila PSG alitoa sare, mikeka ukachanika.

{Wazee wenzangu kule kwenye Uzi wa mikeka ni mashahidi kwenye hili}

Nilitulia, Nikarelax na Nikaendeleza Mapambano.

Baada ya wiki 1,
Namaanisha wiki ilofuata nilimpiga muhindi million 18.

Na mapambano Bado yanaendelea.
Duuh wewe ni zaidi ya Gambler......
 
Atakua ndo Anajifunza kubet huyo.



Ila Naimani hakijaharibika kitu, Binadamu tunajifunza kupitia makosa.

Ushaur wangu:
Mwambie apitie kwenye Uzi wetu wa Mikeka humu jf akapate faraja ya moyo.

Akaone jinsi watu wanavyobet kistaarabu.

Pia,
Atapata mengi ya kujifunza kuhusu mbinu mbalimbali za betting.

Kuchagua kampuni nzuri za kubeti.

Kuchagua Option nzur za kubeti

Kupata kuzijua Tabia(mienendo) za kujirudia rudia za timu mbali mbali ziwapo uwanjani ktk msimu husika.

Yote kwa yote,
Ni kujifunza Kubeti Kistaarabu

Huku ukivuna faida kidogo kidogo bila kuathiri mtaji wako, itakayosaidia kuepuka kufilisika ghafla kama ilvotokea kwa Ndugu yako huyo.
Huo uzi wa mkeka unaitwaje (sidhani kama anaifuatilia jf)
 
Binafsi;
Niliwahi kuliwa Million 6 kwenye mkeka mmoja na sikupata presha.

Nlicheza mechi 2 tu, nkawapa ushindi Bayern na PSG wote walikua wanacheza nyumbani.

Bayern alishinda ila PSG alitoa sare, mikeka ukachanika.

{Wazee wenzangu kule kwenye Uzi wa mikeka ni mashahidi kwenye hili}

Nilitulia, Nikarelax na Nikaendeleza Mapambano.

Baada ya wiki 1,
Namaanisha wiki ilofuata nilimpiga muhindi million 18.

Na mapambano Bado yanaendelea.
Hahaha,aiseee..mil 6 ilikuwa ni stake kaka?
 
Binafsi;
Niliwahi kuliwa Million 6 kwenye mkeka mmoja na sikupata presha.

Nlicheza mechi 2 tu, nkawapa ushindi Bayern na PSG wote walikua wanacheza nyumbani.

Bayern alishinda ila PSG alitoa sare, mikeka ukachanika.

{Wazee wenzangu kule kwenye Uzi wa mikeka ni mashahidi kwenye hili}

Nilitulia, Nikarelax na Nikaendeleza Mapambano.

Baada ya wiki 1,
Namaanisha wiki ilofuata nilimpiga muhindi million 18.

Na mapambano Bado yanaendelea.
Aisee
 
Back
Top Bottom