Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Naomba nikufundisheHapana Sibet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nikufundisheHapana Sibet
Haramu mbona nchi inaruhusu??..which is which??Kamari haimwachi mtu salama....kwanza kubeti ni haram lakini watu wabishi na hawataki kusikia...mimi simpi pole kwenye upuuzi kama huu ambao Mwenyezi Mungu anaupiga vita....
Haramu mbona nchi inaruhusu??..which is which??
Wajinga ndo waliwao
Ili na mimi yanikute kama ya huyo jamaa?Naomba nikufundishe
Hii nchi haina dini bwana...
Ili na mimi yanikute kama ya huyo jamaa?
Hapana usihofu sio kila sharobalo imeandikwa atafia muhezaIli na mimi yanikute kama ya huyo jamaa?
Mkuu kwani nimekukosea nini? MimiAchana naye anataka kukupitisha njia ya miba huyo.
Corrections, urahibu- addiction na si urahabuKamari ni urahabu kama urahabu mwingine tu
Tumefanana majina tu.Shadee Clouds wanasemaje?