Jamaa kamuoa dada yake!

Jamaa kamuoa dada yake!

Aisay naoa kabisa....Sioni kosa hapo.

Na anaye sema kuna kosa siatakuwa mjinga aniletee vitabu vya Mungu wapi mungu kasema kosa...Hivi nyie bin-adamu mnajiona mna akili kuliko Mungu!!

Kama kungekuwa na kosa si Mungu angeisha sema zamani....
since theres no where in the Qur'am or Bible that forbids...Wacha vijana wachangamkie watoto wa uncle zao.

Msilete sababu ya genetic and heriditary problems for your children....Wengine wakaogopa lakini sioni reason ya aina yoyote ukioa mtoto wa uncle yako mtoto atazaliwa ana problems...Mana kila kukicha naona watu wanaona vile, mtoto wa mjomba anaoa wa shangazi...na mtoto wa mamkubwa anao wa mamdogo...Sijasikia wamepata heriditary problems.

Mtoto kuzaliwa na health problems ni Amri ya Mungu c sababu zingine, Mungu tu, ndo kataka azaliwe vile.
Inaelezwa kwenye Bible kuwa Mwenyezi Mungu alipoleta gharika, alimwambia Nuhu aingie kwenye safina. Ndani ya Safina Nuhu aliingia yeye na mkewe na watoto wake wa kiume wa3 kila mmoja na mkewe (achilia mbali wanyama).

Sasa hiki kizazi kilianza kuzaliana kutokana na hao watu 8 walionusurika na gharika. Hamuoni kuwa hawa walikuwa ndugu wa karibu kabisa lakini walianzisha taifa lao!
 
Habari zenu bandugu.
Hiki ni kisa cha kweli kabisa ambacho nimekishuhudia na ninaendelea kukishuhudia:
Ninaye jamaa yangu mmoja hivi, yeye amemuoa binamu yake yaani mtoto wa shangazi yake kabisa na hadi sasa wana watoto watatu.
Baba yake huyo jamaa yangu na mama wa huyo binti (aliyemuoa) wanazaliwa na baba mmoja na mama mmoja.

Kwangu mimi ilinistua sana nilipogundua hii kitu kwani naona kuwa hao ni mtu na dada yake wa damu kabisa.
Niliwahi kusikia kuwa kuna baadhi ya makabila na hata dini zinaruhusu ndoa katika mahusiano ya undugu wa karibu namna hiyo, lakini nilidhani kuwa haya mambo yalifanyika zamani sana (kwa sababu zao wakati huo) na sikutegemea kama yanaweza kufanywa na kizazi cha sasa.

Niliwahi kupata mafundisho kuhusu ndoa. Katika dini yetu pale inapobidi, ndoa za kindugu zinaruhusiwa lakini kuanzia kizazi cha tano yaani kama kwa upande wa shangazi na mjomba wanaoweza kuoana ni kuanzia vitukuu vyao kwani hawa hata ule undugu unakuwa umeachwa mbali sana lakini siyo kama huyu jamaa yangu na dada yake kwani hiki ni kizazi cha pili tu.

Mtiririko upo hivi:
Babu/Bibi
Baba/Mama
Mwana
Mjukuu
Kijukuu
Kitukuu
Kilembwe
Kining'ina

Je kwa mila na desturi za kitanzania (makabila na dini), zamani na sasa hii kitu ni sahihi?
Je ina athari yoyote katika jamii husika?
Karibuni.

Hio mbona ruksa kabsa inaruhusiwa mkuu.....Inaruhusiwa kabsa hata kwenye bibilia ipo....kasome Mwanzo 28 to 32. Yakobo alioa watoto wa mjomba wake aitwaye Laban (kaka wa mama yake). Yakobo alioa wote wawili Lea na Raheli akazaa nao watoto wengi. Na Mungu alimbariki Yakobo alikua tajiri sanaaa !!!!
 
Back
Top Bottom