Jamaa kamweka mwenye Kampuni (Mkurugenzi Mkuu) Kiganjani. Hakohoi Kampuni kama yake

Jamaa kamweka mwenye Kampuni (Mkurugenzi Mkuu) Kiganjani. Hakohoi Kampuni kama yake

We jamaa na mambo ya kishirikina damdamu ndio maana Umughaka anafichua mambo yako unakuwa mkali, basi tushakuelewa
Umugaka nimemtoa mbali sana huyu dogo....leo anatuita mimi na ally kuwa tuna majini? Ally alikuwa mpaka analala na mugaka kipindi hicho kitanda kimoja. Dogo hana shukran kabisa.
 
Wakati alikuwa anamlaza kwenye AUDI A4
Huyu dogo kidogo tu kaota mapembe. Mimi na Ami Ally Mahmoud au Ally Mpemba tumemtoa mbali sana. Huko nyuma hakuwa hivyo. Siku hizi mpaka anajua kutukana? Hii dunia hii.... Dunia tabu
 
Nimekujua tuonane ofisini kesho.[emoji41][emoji34][emoji35][emoji35][emoji35]
 
We endelea kuzubaa zubaa tu, huyo dereva ndo anazidi kuchanja mbuga za kimaisha. Changamka we chizi.
 
Back
Top Bottom