The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Leo nipo zangu kwenye daladala na kavocha kangu ka 500 nimeshakwangua tayari kwa kuingiza.
Wakati naingiza nilikuwa nahangaika maana kioo changu hakitachi vizuri. Jamaa wa jirani akawa anainakili fasta na kaiingiza. ilipokataa nikamdaka fasta meseji imeingia.
Kwakifupi tumepigana, nimemng'oa jino mpaka daladala ikasimamishwa na tukashushwa kwa nguvu.
Sasa nimemkariri nina mpango wa kumfikisha mahakamani kwa kosa la wizi.
Mawakili wasomi hii kesi imekaaje?
Wakati naingiza nilikuwa nahangaika maana kioo changu hakitachi vizuri. Jamaa wa jirani akawa anainakili fasta na kaiingiza. ilipokataa nikamdaka fasta meseji imeingia.
Kwakifupi tumepigana, nimemng'oa jino mpaka daladala ikasimamishwa na tukashushwa kwa nguvu.
Sasa nimemkariri nina mpango wa kumfikisha mahakamani kwa kosa la wizi.
Mawakili wasomi hii kesi imekaaje?