The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
- Thread starter
- #21
Hujui kwamba vitus vikubwa watu hawapigani vidogo ndo wanauana..kwasababu ya dharau na hasiraKweli January, vocha ya jero mnang'oana hadi meno😀😀 safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kwamba vitus vikubwa watu hawapigani vidogo ndo wanauana..kwasababu ya dharau na hasiraKweli January, vocha ya jero mnang'oana hadi meno😀😀 safi sana
Mimi au au huyo mwizi?Oya Nimecheka kisenge😅Dah huna adabu
Sasa mwanangu buku au jero ni kitu ya kugombania kweliMimi au au huyo mwizi?
Ni kweli mkuu, kuna watu huko wameuana sababu ya nyama ya kenge 🙌Hujui kwamba vitus vikubwa watu hawapigani vidogo ndo wanauana..kwasababu ya dharau na hasira
Mzee wewe unaona ndogo ila mimi buku naweza ipangia bajeti ya siku3Sasa mwanangu buku au jero ni kitu ya kugombania kweli
Hahah...hyo hatari, wanaacha kupigania mke wanapigania Kenge 😄Ni kweli mkuu, kuna watu huko wameuana sababu ya nyama ya kenge 🙌
Utaachika kisa buku. Lete namba nikutumie bundle la mwakaNilitaka nikapike ila nimeghairi, sichezi mbali
Dah kuna waliopendezwa na ulichofanya na wengine hawakupendezwa.Duuh nlikua sijui aisee,. Shida ilikuwa nini?
Nyama ya kenge huyu huyu😃 dunia inakoelekea sijuiHahah...hyo hatari, wanaacha kupigania mke wanapigania Kenge 😄
Naijua hiyoo..!Utaachika kisa buku. Lete namba nikutumie bundle la mwaka
HeeeeDah kuna waliopendezwa na ulichofanya na wengine hawakupendezwa.
Wana sababu zao ila sio za msingi sababu kama jambo halikupendezi na linawapendeza wengine basi wacha waneemeke wewe utulie.
Wengine walisema watoa vocha wanajiona wanazo sana
Wengine walizusha kusema kuwa vocha zote zinazotolewa Jf zimetumika so mnawachora
Wengine wakasema wanaotoa vocha ni wema hawana shida yoyote sababu wengine walikilikuzipokea na kushukuru.
Haya shauri yako. Nakuambiaga toka mda tuNaijua hiyoo..!
Ni haki yake mkuuVocha ya 500. Mahakamani
Noma sana mkuuHichi kituko kimewahi kufanywa na jamaa yetu mmoja. Tulikuwa tunasafiri ndani ya basi abiria mmoja alilinunua vocha. Ile amekwangua na kuanza kuingiza namba jamaa yetu aliziingiza chapchapu kwenye simu yake. Abiria anashangaa kujibiwa vocha imetumika. Karudiarudia jibu likawa ni lilelile ikabidi amshutukie jamaa yetu aliyekaa siti ya nyuma yake kuwa kaingiza namba hizo. Simu iliyoingiza namba hizo ikapigwa jamaa akaumbuka kesi ikaenda kumalizwa polisi
Wewe ndiye utaenda ufanye debe maana una kesi ya kumng'oa jino mtu! Kosa lakini kutumia silaha butu kumng'oa jino!Leo nipo zangu kwenye daladala na kavocha kangu ka 500 nimeshakwangua tayari kwa kuingiza.
Wakati naingiza nilikuwa nahangaika maana kioo changu hakitachi vizuri. Jamaa wa jirani akawa anainakili fasta na kaiingiza. ilipokataa nikamdaka fasta meseji imeingia.
Kwakifupi tumepigana, nimemng'oa jino mpaka daladala ikasimamishwa na tukashushwa kwa nguvu.
Sasa nimemkariri nina mpango wa kumfikisha mahakamani kwa kosa la wizi.
Mawakili wasomi hii kesi imekaaje?