Jamaa kaniwahi kuingiza vocha yangu, hadi tumepigana

Duuh nlikua sijui aisee,. Shida ilikuwa nini?
Dah kuna waliopendezwa na ulichofanya na wengine hawakupendezwa.

Wana sababu zao ila sio za msingi sababu kama jambo halikupendezi na linawapendeza wengine basi wacha waneemeke wewe utulie.

Wengine walisema watoa vocha wanajiona wanazo sana

Wengine walizusha kusema kuwa vocha zote zinazotolewa Jf zimetumika so mnawachora

Wengine wakasema wanaotoa vocha ni wema hawana shida yoyote sababu wengine walikilikuzipokea na kushukuru.
 
Heeee

Nchi ina mambo mengi hiii๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚
 
Noma sana mkuu
 
Wewe ndiye utaenda ufanye debe maana una kesi ya kumng'oa jino mtu! Kosa lakini kutumia silaha butu kumng'oa jino!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ