scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
We msukuma utaacha lini ushamba,ona sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke akipata bwana anakua yatima na ww kidume ndo unakua baba mleziMwanamke anakuwaje mzuri afu anakosa nauli?
Uje nikuonyeshe ushamba wanguWe msukuma utaacha lini ushamba,ona sasa
Mwanza kuna watoto wazuri sanaUmekutana na malaya aliyechangamka. Hakujui, haumjui, kisa kafokewa na bwana ake akaishia kuliwa kimasihara kwa care za bundle na wine [emoji23] kapime isije ikawa umeungwa ktk grid ya taifa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umekutana na malaya aliyechangamka. Hakujui, haumjui, kisa kafokewa na bwana ake akaishia kuliwa kimasihara kwa care za bundle na wine [emoji23] kapime isije ikawa umeungwa ktk grid ya taifa!
Tatizo mwamba ni mshamba hata ukifuatilia thread zake nyingi utashangaa yaani kuna vitu mwanaume ukifanya hutakiwi kuhadisia kwa watu sababu sio sifa au bado ni mdogo kiumriJamaa kaja kututambia alivyokula Malaya😂
Punguza ushamba na usipende shortcut na miteremkoUje nikuonyeshe ushamba wangu
Jamaa anajiona mjanja kulala alipoamkia mkulungwa haha😂😂Wewe mchukue tuu. Mimi nimeshamchosha. Mtu gani hawezi hata kujinunulia maji?
Usisahau kulinda afya yako.
Huyo dada mjanja sana amejiuza kijanja mnooUje nikuonyeshe ushamba wangu
Jamaa sikutegemea kama ni mshamba hiviHuyo dada mjanja sana amejiuza kijanja mnoo
Ni aibu mno kujisifia mwanamke wa kutongoza na kusex siku hiyo hiyo.Jamaa sikutegemea kama ni mshamba hivi
Mim nikienda bar au hotelin sitakagi mazoea na mwanamke yeyote yule najua pigo zao unless kama nawahitaji na siwezi enda hadisia mtu sio sifa
Ila mwamba anakuja kujisifia bila hata aibu
Kifupi hakuna wa kukulaumu watu wanakucheka tu kuwa unaibiwa kwa style ya zamani sana ya miaka ya 2000s wewe wanaitumia kwako 2023. Ni aibu sana. Hukupaswa hata kusimulia kwa majidai ungesimulia kwa kujuta kuwa kanda ya ziwa wamekuingia choo cha kike kibwege sana. Wamekuokota. Ni aibuWikendi jana nilikuwa zangu kanda ya ziwa. Nikafikia lodge moja yenye sehemu nzuuuri ya kutulia na kula kinywaji.
Nyakati za jioni nikatoka nje kupunga upepo,kunywa wine huku nikipitia nyuzi za wakuu Jamiiforums. Pembeni kidogo kulikuwa na mtoto mzuri lakini anaonekana mapepe kama wale watoto wa Insta. Lakini yule mtoto hakuwa na raha. Muda mwingi alifokeana kwenye simu na mtu aliyeonekana ni bwana wake.
Mtoto alisikika akimlalamkia jamaa kwamba haiwezekani amuweke pale toka mchana kakaa hata hela ya maji hana. Basi kama kashindwa amtumie nauli aondoke. Kama kawaida mfariji nikaona fursa, nikavuta kiti karibu na kuagiza vinywaji kwa ajili yake. Ikawa akitaka bundle nampa, akitaka dakika nampa. Akaniambia anaishi na mdogo wake, nikamwambia na yeye tumnunulie bundle. 😂😂😂😂
Saa moja baadae nikamwambia tuingie chumbani tusije kufumaniwa. Tukachoma ndani kupitia mlango wa nyuma. Ikipofika saa 1 kagiza jamaa ndio anatia timu. Piga sana simu piga sana simu. Tuma sana sms. Kimyaaa.
Ujumbe wangu kwenu muache kufokea wapenzi wenu, hasa wanapokuwa hawana makosa. Onyesheni ukomavu na mapenzi ya dhati. Msipofanya hivyo mtalaumu wengine bure.
Wasukuma ndo wameishtukia sahii[emoji1787]Hii mbinu ni ya zamani sanaaa, tena mnooo