Jamaa niliyekuibia mpenzi wako jifunze, mwanamke mzuri hafokewi

Umekutana na malaya aliyechangamka. Hakujui, haumjui, kisa kafokewa na bwana ake akaishia kuliwa kimasihara kwa care za bundle na wine [emoji23] kapime isije ikawa umeungwa ktk grid ya taifa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa kaja kututambia alivyokula MalayaπŸ˜‚
Tatizo mwamba ni mshamba hata ukifuatilia thread zake nyingi utashangaa yaani kuna vitu mwanaume ukifanya hutakiwi kuhadisia kwa watu sababu sio sifa au bado ni mdogo kiumri

Mim nikienda bar au sehemu ya starehe sitaki mazoea na mwanamke yeyote yule sababu zama hizi udangaji ni professional kwa baadhi ya wanawake
 
Wewe mchukue tuu. Mimi nimeshamchosha. Mtu gani hawezi hata kujinunulia maji?

Usisahau kulinda afya yako.
Jamaa anajiona mjanja kulala alipoamkia mkulungwa hahaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo dada mjanja sana amejiuza kijanja mnoo
Jamaa sikutegemea kama ni mshamba hivi
Mim nikienda bar au hotelin sitakagi mazoea na mwanamke yeyote yule najua pigo zao unless kama nawahitaji na siwezi enda hadisia mtu sio sifa
Ila mwamba anakuja kujisifia bila hata aibu
 
Jamaa sikutegemea kama ni mshamba hivi
Mim nikienda bar au hotelin sitakagi mazoea na mwanamke yeyote yule najua pigo zao unless kama nawahitaji na siwezi enda hadisia mtu sio sifa
Ila mwamba anakuja kujisifia bila hata aibu
Ni aibu mno kujisifia mwanamke wa kutongoza na kusex siku hiyo hiyo.
Ona anaomba mara vocha mara vocha ya dogo...hizo zote ni dalili za mlupo
 
Kifupi hakuna wa kukulaumu watu wanakucheka tu kuwa unaibiwa kwa style ya zamani sana ya miaka ya 2000s wewe wanaitumia kwako 2023. Ni aibu sana. Hukupaswa hata kusimulia kwa majidai ungesimulia kwa kujuta kuwa kanda ya ziwa wamekuingia choo cha kike kibwege sana. Wamekuokota. Ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…