Jamaa yake Mobetto anacheza ndondo ya basketball Marekani,hata kwa Aslay bado anasubiri sana.

We ni wema sepetu, zari au esma?
 
Endelea kusaga sumu tuu maana ndo unachokiweza. Mwanaume unaanzaje kumponda mwanaume mwenzio au unamuonea wivu hamisa.
 
Kwa Uzi wa namna hii sitashangaa kusikia mleta uzi jina lake lipo kwenye zile sms anazotumiwa RC Makonda!!
 
Mi hapa nagonja siku huyo Hamissa atibuane na MANGE heheheheh

Hata wema walikuwa mashosti na mange

Hata mwamvita sijui walikuwa mashosti

Wako wengi tu we ngoja watibuane siku

MANGE atatupa hadi jamaa waliomchapa huyo demu hamisa huko marekani
 
Akiwaloga mnalalamika akipata Danga halina pesa BinAdam ni shida tupu
 
Wasng watemi wamevagaa hapa yani.

Ila jamaa ana muonekano mzuri sana anavutia
 
Nawewe tafuta mume anaecheza ligi kuu umpige gap Hamisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…