Na huyu jamaa akishakunywa madem hawamkatai...hatom.bag malay kwa mujib wake..anasema yeye anakulaga hawa hawa wa viwanja tu..dah..hali teteBongo ngoma ama hepatitis kupata rahisi sana..
Ukipiga malaya hawazidi 10 kavu kavu na swaga kama unapiga mkeo .. lazima utoke na kitu
Hapa pana kaukweli fulani hivi....Wanawake hawaogopag ngoma aisee..amin hilo....yaan katika maisha yangu..decision ya kuvaa kinga huwa naisisitiza mimi...ila weng hawapend..amin hilo
Duh.bas kama alijua itakua alikua anafanya maksud...mbaya sana...kuna kipind nilimwambia anitaftie mtoto m1 wa kizungu katika circle yake....akakubal kabisa...ila ikatokea tu hilo swala halikufanikiwa.....dah namii ningeukwaa aisee..daahAlijua kwa kuwa ni mzungu hawezi kuukwaa?!!!
Huyo jamaa yako alishajijua anao toka huko Italy.....
Labda tu amepata maambukizi mapya......
KUPANGA NI KUCHAGUA
Ukiona hawasisitizi tayari hawana uhakika na afya zao. Mwanamke anayejijua yupo salama hata ukivaa atashika ahakikishe ni kweli umevaa.Wanawake hawaogopag ngoma aisee..amin hilo....yaan katika maisha yangu..decision ya kuvaa kinga huwa naisisitiza mimi...ila weng hawapend..amin hilo
Huyo ni wew ambae uko makin..weng ukishakua nae mmeshirik zaid ya mara kadhaa na upo nae kwenye uhusiano zaid ya miez kadhaa..baaas..anakuamin na hapo ndo utashangaa ule woga wake unakwisha kabisa..na ataanza vineno vya kua znamuumiza.....sjui inakuaje hawaogopUkiona hawasisitizi tayari hawana uhakika na afya zao. Mwanamke anayejijua yupo salama hata ukivaa atashika ahakikishe ni kweli umevaa.
Mkuu nikuambie kitu....Duh.bas kama alijua itakua alikua anafanya maksud...mbaya sana...kuna kipind nilimwambia anitaftie mtoto m1 wa kizungu katika circle yake....akakubal kabisa...ila ikatokea tu hilo swala halikufanikiwa.....dah namii ningeukwaa aisee..daah
Mkuu ndio maana NGOMA iko juu sana kwa KE zaidi ya ME....ukiacha sababu za maumbile yao kupata kirahisi pia kuna mchango mkubwa wa wao KUJIACHIA......Na nahis wao ndo wanaambukiza sana watu
🤣🤣Huyo ni wew ambae uko makin..weng ukishakua nae mmeshirik zaid ya mara kadhaa na upo nae kwenye uhusiano zaid ya miez kadhaa..baaas..anakuamin na hapo ndo utashangaa ule woga wake unakwisha kabisa..na ataanza vineno vya kua znamuumiza.....sjui inakuaje hawaogop
Sawa....Ukiona hawasisitizi tayari hawana uhakika na afya zao. Mwanamke anayejijua yupo salama hata ukivaa atashika ahakikishe ni kweli umevaa.
Mpaka ifike hii stej ni miaka 6 mpaka 7rush mwil mzima
Yaani ukimwi alioushtukia wiki mbili umtoe rashes? Ni urongo
Elimu yako basic kuhusu HIV ni almost zeroYaani ukimwi alioushtukia wiki mbili umtoe rashes? Ni urongo