Jamaa yangu amepata maambuki ya Virusi vya UKIMWI, namuonea huruma. Inabidi arudi kwao Italy

Jamaa yangu amepata maambuki ya Virusi vya UKIMWI, namuonea huruma. Inabidi arudi kwao Italy

Wewe pia uelewa wako kuhusu vipimo vya ukimwi na ukimwi ni zero.

Vipimo vinaanza kuonyesha kuanzia siku ya 10 hadi 90 baada ya maambukizi sio kwamba virusi wanaanza kuonekana baada ya siku 90, huo ni uongo. Hiyo elimu yako ya ukimwi utakua umeipata vichakani.

Rudi shule ujifunze kuhusu vipimo vya ukimwi vinavyofanya kazi.

PCR inaonyesha kuanzia siku 10 hadi 33.

Rapid test za fourth generation kama ELISA zinaonyesha kuanzia siku 21 hadi 44, hii ni combo ya antibody na antigen. Wataalam wengi siku hizi wanatoa conclusive result kwa ELISA ndani ya siku 50.

Rapid za antibody za third and second generation kama hizi za Bioline/unigold zinaonyesha maambukizi ya kati ya siku 21 hadi 90.

Hizo ni general guidelines za WHO, CDC na taasisi nyingi za Afya Duniani. Ndio maana window period maximum imewekwa siku 90 kwamba 99.9% wa watu wataonyesha reaction ndani ya huo muda.

Kusema virusi vinaonekana baada ya siku 90 unaonyesha kabisa una elimu finyu kuhusu Ukimwi.
Sorry brother, mfn umeukwaa na bado hajapima....kikawaida hua inachukua mda mgan mpaka uanze kuumbuka.....
 
Sorry brother,mfn umeukwaa na bado hajapima....kikawaida hua inachukua mda mgan mpaka uanze kuumbuka.....
Ni baada ya muda hasa mwaka 1 hadi 10 ambapo kinga zinakua zinashuka kwa kushambuliwa na vijidudu. Inategemeana na kinga ya mtu na mtu ila wastani ni kuanzia mwaka mmoja hadi 10.

Solution ni kupima tu hakuna namna nyingine. Wataalam wanasema within 6 weeks baada ya maambukizi utaonekana tu unao. Watu wachache sana wanaweza kuchukua hadi wiki 12 kuonyesha ila 95.9% wanakua wameonyesha ndani ya huo muda wa wiki 6 na waliobaki ndani ya wiki 12 ama siku 90.
 
Ni baada ya muda hasa mwaka 1 hadi 10 ambapo kinga zinakua zinashuka kwa kushambuliwa na vijidudu. Inategemeana na kinga ya mtu na mtu ila wastani ni kuanzia mwaka mmoja hadi 10.
After 1-10 years mbna parefu mno, mtu anaweza kudhani kaukwaa last year kumbe 9 years back. Hapo ni kwamba ilikujihakikishia huna labda upime tu.
 
Nyie ngwengwe isikieni tu mwez mmoja nyuma nmemmwaga manzi moja juzi nmekutana nae ananitambia X mbona unakonda ivo haraka we si uliona umepata kapime sasa..
Kila siku nakua hospital ila nmeshindwa kujipima mpka sasa
Haha haaahaaa [emoji16]
 
After 1-10 years mbna parefu mno, mtu anaweza kudhani kaukwaa last year kumbe 9 years back. Hapo ni kwamba ilikujihakikishia huna labda upime tu.
Wanasema within that time mwili wako bado unakua na kinga za kutosha na bado unafight kukuweka safe ila with time kinga zitaanza ku drop significantly hadi sasa unakua na ukimwi wenyewe maana yake kinga yako inaelekea mwisho hapo hata mafua ama kikohozi tu kidogo kinakupiga chini.
 
Wanasema within that time mwili wako bado unakua na kinga za kutosha na bado unafight kukuweka safe ila with time kinga zitaanza ku drop significantly hadi sasa unakua na ukimwi wenyewe maana yake kinga yako inaelekea mwisho hapo hata nafua ama kikohozi tu kidogo kinakupiga chini.
Asee hili ni balaa[emoji22][emoji848]
 
Wanasema within that time mwili wako bado unakua na kinga za kutosha na bado unafight kukuweka safe ila with time kinga zitaanza ku drop significantly hadi sasa unakua na ukimwi wenyewe maana yake kinga yako inaelekea mwisho hapo hata mafua ama kikohozi tu kidogo kinakupiga chini.
Unaweza ukawa unasimanga watu kumbe ni swala la PERIOD!!!!.
 
Unaweza ukawa unasimanga watu kumbe ni swala la PERIOD!!!!.
Sure.

The best way ni kua unafanya checkup kila baada ya muda na kuongeza umakini.

Mimi sasa hivi niko makini kuliko chochote kwenye haya mambo maana hii ni second time natafuna watu wenye ukimwi halafu nanusurika kwa kumeza PEP. Nimekoma.
 
Kuna jamaa yangu m1 bwana yupo bongo mwaka wa pili huu...ila kwa maisha aliyokuwa anaishi anayoish had sasa kiukwel nilijua tu ipo siku kitu kama hiki kingetokea..hapa kachanganyikiwa week ya pili hii hata nje hatoki. Huyu jamaa ni muitaliano...mzungu Og kabisa yan...
Dhambi haijawahi kuwa mbaya machoni pa mwanadamu wakati inatendwa ila matokeo yake ndiyo mabaya
 
Back
Top Bottom