kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Kuna jamaa yangu tumepiga nae shule, yeye alikua sio mtu wa ile misuli mirefu,kapata pass degree grade.ila cha kufurahisha ni kwamba jamaa tayari kalamba mkataba kwenye kampuni kubwa tu linalojihusisha na utengenezaji na usambazaji wa cement hapo mjini Daslamu.
Binafsi zamani nilikuwa najua mtu akimaliza chuo na pass degree,basi sehemu pekee anayoweza kupata kazi ni serikalini tu,kumbe mambo sivyo.
Mapambano yaendelee job seekers wenzangu.
Binafsi zamani nilikuwa najua mtu akimaliza chuo na pass degree,basi sehemu pekee anayoweza kupata kazi ni serikalini tu,kumbe mambo sivyo.
Mapambano yaendelee job seekers wenzangu.