Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Kufaulu hasa sayansi inategemea na mtu alivyo up - stairs. Hakuna kubahatisha, aliyefaulu vizuri zaidi hata kiwango chake cha kufikiria kipo juu. Hata kuajiriwa anatakiwa mtu anafikiria zaidi ili aweke mambo sawa. Hapo alipoajiriwa si kuna waliofaulu kuliko yeye ila wapo nje? Mjomba kamvuta pale.