DuuZe same applied na kwangu nilimla mama mtu 43 yrs, nilivyokutana na mtoto wake wa kwanza 26 yrs keshakuwa demu wangu wa jumla. Mama mtu ashatufuma akazimia tukampeleka hosp, ila mtoto mtu mpk leo hajui km nishamla mama yake. Hizi dhambi zingine. Na yote inatokea wanawake kuzaa mapema unakutana na mdada ana miaka 39 hlf mtoto wake wa kwanza wa kike ana 20 kwanini wasiliwe wote maana ni age mates
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
DuuVitu vingine ni rahisi kulaumu ila ukikutana na uhalisia utabadili msimamo japo unakuja kujuta baadaye.
Nimeshawahi kula mtu na mdogo wake ila kwa ujinga wa mama yao.
Iko hivi, huyo dada natoka naye kama mchepuko wangu ila mama yake alikuwa hajui. Sasa huyo mama akawa amenizoea sana.
Nikikutana naye basi ananichangamkia mara ananikaribisha kwao. wakati mwingine nikimsalimia ananihug design flani amazing utadhani mtu na mpenzi wake na alivyo ya nyonyo kubwa sasa lazima anibane kifuani mwangu. Nikawaza huyu maza anataka nimchape au?
Basi buana, huyo mwanae mchepuko wangu kuna kipindi akaenda mkoa mwingine. sasa kuna siku huyo mama akaniomba sh 30k kuna jambo amekwama kabisa. nikasema poa sasa utapataje na mm niko ofcn. akasema atamtuma mtoto wake aje kuchukua. basi ndo akaja mdogo wa huyo mchepuko wangu. nakumbuka ilikuwa decemba binti ndo katoka kumaliza form four mtoto wa kipare mzuri shepu analo la uhakika, mwororo. ooh. basi mama kampa bintiye namba yangu. nikawa namwelekeza mpaka kafika ofcn.
tukapiga story mbili tatu, nikampa hiyo 30k ya mama, alafu yeye nikampa 10k ya kwake nikasema asimwambie mama hiyo ya kwako..
Wakati anaondoka nikamtazama kwa nyuma hayo mapaja, tako safiii, mweupe daah. siku yangu ya kazi iliishia hapo hapo saa nne sikuendelea na kazi tena. nilihisi kuchanganyikiwa hivi..
nilikuja kumla sijawahi kupata mtoto mtamu kama huyo maishani mwangu, ila akaja kuolewa hadi leo namuwaza. Dada yake alikuja kujua baadaye nadhani kupitia simu, hii tabia ya kuomba simu ya mwenzake kutuma sms au kupiga
Sina uchungu ila inaniuma sana dogo ni wakusoma badoUnaandika kwa uchungu...ulikuwa unamtaka mdogo mtu akakutolea nje....we komaa atakupa tu...uyo jamaa mbona yuko sawa tu, kamlipia mmoja ,mmoja kapewa nyongeza
Hakuna kitu kinaniuma kama bione au nijue kitu amvacho kwa uhalisia sio kizuri naumia mno kuona anaetendewa haijuiWala siyo umbea dunia ina watu waajabu haijapata kutokea,mimi niliwahi kuona upuuzi kama huo,Tumeenda alipopanga jamaa yetu mara akaja mama wakaingia chumbani wakakaa wakatoka yule mmaza akaondoka,Haijafika nusu saa akaja bint..
Badaye jamaa linatuambia yule mama ayekuja na huyu bint mtu na mwanae kabisa Anawatafuna wote...!
KIUFI HAYO MATENDO YA QIYAMA HAKUNA JINGINE
Sikulaumu hata binadamu tunatofautiana sanaYajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu
Ni kweli hata mm yalinitokea Jambo Hilo mm ckuwa na mawazo Wala wazo la kumtamani aliniomba elfu tano apeleke shuleni ..siku nyingine alitumwa na dad ake aje achukue juice mm nilikuwa karibu na mitaa ya kwao uko mbeya napata bia jion fln kufika getho ananitext msg shem wangu umefika nikamjibu ndio akasema ngoja nikupigie shem ,akaniomba kitu. Akanimbiaa atakachoniambia nisimuambie dad ake nikamsikiliza akanimbiaa nakutamani na naomba na mm niwe wako utuchukuwe wawili ..mm nikawaza nikais mtego huo .nikamjibu mbna hatari au umetumwa unijaribuKiuzoefu....huyo mdogo mtu kataka mwenyewe, niamini Mimi Jamaa hana kosa hata kidogo.
Mbona kwaida,watu tulishaona jamaa anakula dada mutu pamoja na mama,dhambi inafanyika Sana hapa duniani Wala usishangae,jamaa alikuwa anakula mutu na dadaake,badaye akaanza kumla na mama,usicheze na binadamuYaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Dhambi kubwa sana hiiMbona kwaida,watu tulishaona jamaa anakula dada mutu pamoja na mama,dhambi inafanyika Sana hapa duniani Wala usishangae,jamaa alikuwa anakula mutu na dadaake,badaye akaanza kumla na mama,usicheze na binadamu
Naam zinaa haraamMaandiko yanakataza anakosea sana
Hata kuwaoa ni haramuNaam zinaa haraam
Ila anapokufa mkubwa uliyemuoa una uwezo wakwena kuoa mdogo.....!Hata kuwaoa ni haramu
Hii naikatia rugaa isee..Unashangaa hiyo? Kuna jamaa alilamba wadada wanne wa familia moja, akalamba shangazi mtu na mama yao kabisa.
Mtu na mama yake haramu,mtu na dada yake halaliIla anapokufa mkubwa uliyemuoa una uwezo wakwena kuoa mdogo.....!