Jamaa yangu kapasua friji la TBL kwa hasira baa. Kioo chake kina gharama gani?

Jamaa yangu kapasua friji la TBL kwa hasira baa. Kioo chake kina gharama gani?

Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni






Vioo Vipo Huuzwa Ukubwa Wa Eneo Kinapokwenda Kutumia Andaa Pesa Changamfu
 
Angetokomea tu …. Hiyo ndo madhara ya ulevi huyo mwenye baa kama hawezi kucontrol walevi kwa kuweka mabouncer au kiukuta kabla ya Mafriji aache kuuza bia na auuze soda tu
 
Na jee wakati wa kupanda bus ukangoo hendle ya kupandi utalipa?
 
Konyagi.. K vant... Smart... Master..
Kaa nazo mbali msimu huu . Ni hatari.

Watu wanafungiwa mastoo humo na kuamka selo daily.
Hatari..
Au beba home kazime chumbani kwako na mkeo
 
Sema wewe ndio umevunja Hicho kioo



Linauzwa 7,764,650 pale kariakoo mtaa wa narung'ombe
 
Mkiambiwa acheni ulevi hamsikii,ona unavyohangaika kumsingizia jamaa yako
 
Back
Top Bottom