Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Dec 29, 2023 #21 Hasira hasara
Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 14,834 Reaction score 32,522 Dec 29, 2023 #22 Huyo jamaa yako ni wewe acha kuzunguka!
Sakasaka Mao JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 12,826 Reaction score 17,371 Dec 29, 2023 #23 Muuza Kangala said: Jamaa alizinguana na wahahudumu akaamua kubomoa friji la baa. Mate.ngenezo yake yamekaa vipi? Kioo tu ndio kimebomoka. Click to expand... 'Jamaa yangu' kapasua... Hiyo umeongea kikubwa, jamaa yako unayemuongelea ni nafsi yako, yaani aliyeyafanya hayo ni wewe mwenyewe. Umeamka asubuhi wanakusamamba ulipe kwa matendo yako ya jana ukiwa mbwii!. Na hayo makitu huwa hayana spare maalumu labda uende kwenye mitumba, sana sana hapo jiandae kulipa nzima, halafu hilo screpa ulichukue wewe. Na friji za maana nikuanzia laki6 kuendelea.
Muuza Kangala said: Jamaa alizinguana na wahahudumu akaamua kubomoa friji la baa. Mate.ngenezo yake yamekaa vipi? Kioo tu ndio kimebomoka. Click to expand... 'Jamaa yangu' kapasua... Hiyo umeongea kikubwa, jamaa yako unayemuongelea ni nafsi yako, yaani aliyeyafanya hayo ni wewe mwenyewe. Umeamka asubuhi wanakusamamba ulipe kwa matendo yako ya jana ukiwa mbwii!. Na hayo makitu huwa hayana spare maalumu labda uende kwenye mitumba, sana sana hapo jiandae kulipa nzima, halafu hilo screpa ulichukue wewe. Na friji za maana nikuanzia laki6 kuendelea.
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Dec 29, 2023 #24 Muuza Kangala said: Jamaa alizinguana na wahahudumu akaamua kubomoa friji la baa. Matengenezo yake yamekaa vipi? Kioo tu ndio kimebomoka. Click to expand... Ulevi ni ulevi ndiyo sababu hawaruhusu watoto kwani lolote linaweza kutokea, TBL wataweka kipya bila malipo kwani wao ndio waliomuuzia pombe ili alewe.
Muuza Kangala said: Jamaa alizinguana na wahahudumu akaamua kubomoa friji la baa. Matengenezo yake yamekaa vipi? Kioo tu ndio kimebomoka. Click to expand... Ulevi ni ulevi ndiyo sababu hawaruhusu watoto kwani lolote linaweza kutokea, TBL wataweka kipya bila malipo kwani wao ndio waliomuuzia pombe ili alewe.
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Dec 29, 2023 #25 Manyanza said: Hasira hasara hapo kioo sio chini ya 120 k Click to expand... Siyo hasira, pombe si togwa hana deni huyo.
Manyanza said: Hasira hasara hapo kioo sio chini ya 120 k Click to expand... Siyo hasira, pombe si togwa hana deni huyo.
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,893 Reaction score 20,089 Dec 29, 2023 #26 Watamuingiza chupa za tbl
Hum B JF-Expert Member Joined Sep 17, 2014 Posts 1,045 Reaction score 1,468 Dec 29, 2023 #27 Pole Sana K vant si nzuri
M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Dec 29, 2023 Thread starter #28 Kim Jong Jr said: Sema wewe ndio umevunja Hicho kioo Linauzwa 7,764,650 pale kariakoo mtaa wa narung'ombe Click to expand... Friji limekuwa gari?
Kim Jong Jr said: Sema wewe ndio umevunja Hicho kioo Linauzwa 7,764,650 pale kariakoo mtaa wa narung'ombe Click to expand... Friji limekuwa gari?
Shedii JF-Expert Member Joined Dec 18, 2020 Posts 536 Reaction score 661 Dec 29, 2023 #29 Hivi vinauzwagaee angalia asiambiwe anunue lipya