Jaman hiv serikali ina mpango gani na wanafunzi wenzetu ambao wapo jkt maana kuna watu majina yao yalikuwemo katika wale waliokosa first round lakini hawakutaarifiwa ili wafanye selection na yametoka tena ili wafanye selection lakin hawajui lolote sasa hawa wakirudi mtaani si kilio tu
Jaman hiv serikali ina mpango gani na wanafunzi wenzetu ambao wapo jkt maana kuna watu majina yao yalikuwemo katika wale waliokosa first round lakini hawakutaarifiwa ili wafanye selection na yametoka tena ili wafanye selection lakin hawajui lolote sasa hawa wakirudi mtaani si kilio tu
Ila nimesikia kwa baadhi ya wale ambao wapo depo wanawatumia ndugu zao kuwafanyia michakato yote yakuapply unaionaje hyo? Kama vipi supply maujanja hayo.