Jaman hiv serikali ina mpango gani na wanafunzi wenzetu ambao wapo jkt maana kuna watu majina yao yalikuwemo katika wale waliokosa first round lakini hawakutaarifiwa ili wafanye selection na yametoka tena ili wafanye selection lakin hawajui lolote sasa hawa wakirudi mtaani si kilio tu