Point less
Senior Member
- Jun 24, 2020
- 194
- 98
- Thread starter
- #21
Mungu mwenye ata nisaidia kumkamata elimu sitomuacha niufunguo wa maisha asanteNa umkamate sana elimu usimuache aende zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mwenye ata nisaidia kumkamata elimu sitomuacha niufunguo wa maisha asanteNa umkamate sana elimu usimuache aende zake.
Namshukuru mungu form three sija haribu na atanisaidia kumaliza pia, ntakaza buti kujisaidia mana mungu ana msaidia mtu anae jisaidia asanteWengi tunasemaga ivyo ila ukifika form 3 mambo yanabadilika. Hisia zinaposhindana na matamanio. Kaza buti elimu ndio kila kitu
Ilo ndo jambo la muhimu pia ili kujiwekea nafasi ya kuelewa asanteMwaka wa mwisho una majaribu mengi sana, ile tu kujiita LY unaona kama mnalingana na waalimu.
Akili lazima itumike sana, ukikaa hovyo unashangaa umekula suspension ya mwezi, tayari inakutoa relini.
Bora uonekane bwege ila umalize kilichokupeleka.
Maliza topics zote kwa key subjects by May, then endelea kufanya reviews.
All the best.
Kwanini asa nisimulie mvuto wake una kuanga ajeJf imekuwa ya vitoto haina hata mvuto.eti f4 kipo jf? Aisee
Sasa hivi sitaonekana kwa nadra, nina muda mwingi wa kuwa humu.Unaonekana kwa nadra sana humu.
Uko powa?
🙂 thanksGood luck OP.
Sasa hivi sitaonekana kwa nadra, nina muda mwingi wa kuwa humu.
Niko Poa.
Samahani naomba kuulizaAaaaa bora tu mwende maan ndo chanzo cha thread zisizo na kichwa wal miguu ukasome vjn alf mkfunga mkeshe fb huk hakuwafai umesikiaView attachment 1673018
Nitarudia yale ambayo wewe na wengine umesema. Good luck inatosha kusindikiza Don.Vyema sana.
Tunasubiri ushauri wako kwa mdogo wetu.
Duh! Adi naogopa kuuliza.Nini
cool%Ngoj nije PM
Nitarudia yale ambayo wewe na wengine umesema. Good luck inatosha kusindikiza Don.
Wow!Kweli usinifanye nifurahi mapemaKasome tu dogo ila ukimaliza shule utakuta mabandiko pendwa huku JF yote yamepigwa ban.Naona tisiaraei wanatuangalia tu kwa jicho la husda
Masomo mema..kazingatie Sana elimu.
Kila la kheri
Sawa sawa mkuu umesikikaMasomo mema..kazingatie Sana elimu.
Kila la kheri
Ukasome tena?Ngoj namimi nikasome[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]