Jaman kuna sisi ambao tunarudi shule mnatuambiaje?

Jaman kuna sisi ambao tunarudi shule mnatuambiaje?

Wengi tunasemaga ivyo ila ukifika form 3 mambo yanabadilika. Hisia zinaposhindana na matamanio. Kaza buti elimu ndio kila kitu
Namshukuru mungu form three sija haribu na atanisaidia kumaliza pia, ntakaza buti kujisaidia mana mungu ana msaidia mtu anae jisaidia asante
 
Mwaka wa mwisho una majaribu mengi sana, ile tu kujiita LY unaona kama mnalingana na waalimu.

Akili lazima itumike sana, ukikaa hovyo unashangaa umekula suspension ya mwezi, tayari inakutoa relini.

Bora uonekane bwege ila umalize kilichokupeleka.

Maliza topics zote kwa key subjects by May, then endelea kufanya reviews.

All the best.
Ilo ndo jambo la muhimu pia ili kujiwekea nafasi ya kuelewa asante
 
Jf imekuwa ya vitoto haina hata mvuto.eti f4 kipo jf? Aisee
 
Kasome tu dogo ila ukimaliza shule utakuta mabandiko pendwa huku JF yote yamepigwa ban.Naona tisiaraei wanatuangalia tu kwa jicho la husda
 
Masomo mema..kazingatie Sana elimu.

Kila la kheri
 
Back
Top Bottom