Jaman tuwaheshimu waiter/waitress tunapokuwa bar,hotelini au restaurant.

Jaman tuwaheshimu waiter/waitress tunapokuwa bar,hotelini au restaurant.

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Habari za mchana wakuu.
Bila kupoteza muda naenda kwenye mada husika.

Imekuwa kawaida sana hususan sisi wabongo(wengi wetu)kuwachukulia waiter au waitress watu wakawaida sana wanapokuwa kazini mwao haijalishi ni hotelin,bar au restaurant.

Kwanini ninayasema haya...jana nilikuwwa nimekaa sehemu mimi na rafiki yangu tukibadilishana.meza ya jirani yetu alikuwa mkaka na mdada wamehudumiwa vizuri na waiter mwisho wa siku wakalipa bill yao nafikiri chenji ilibaki,yule jama akachukua pesa zingine akampa waiter 500,waiter alichokifanya ni kuichukua ile hela akamrudishia mwenye aliempa tip akamwambia,asante sana kwa tip lakini siwezi kuichukua"
Kaka akaanza kulalamika watu wengine bhana yani unampa mtu pesa anakataa...akasonya kisha akaondoka.

Tukabaki mimi na shosti wangu alichonisimulia ndicho kilichonifanya kuanzisha huu uzi.
"Akaniambia kwamba alikuwa na mpenzi wake kama sio waiter basi angekuwa marehemu mda mrefu sanaaaa..kivipi!kumbe jamaa(mpenzi wa rafiki yangu)alikuwa na maadui wanaomfuatilia mda mrefu,wakachunguza wakajua sehemu anakopendelea kwenda sana kula.wakamfuata waiter wakampa pesa then wakamwekea sumu kwenye maji ya jamaa aliyekuwa akiwindwa wakamwambia kampe anywe.

Waiter akafika mezana akagawa vinywaji kama kawaida mtu anaewindwa akawa wa mwisho kufunguliwa maji na kuwekewa kwa glass.

Waiter akaanza kuchukua order ya chakula kwa anaetakiwa.wakati anachukua order,akawa anamwambia huyo anaetakiwa kunywa hayo maji yenye sumu kuwa,"usinywe hayo maji yanasumu"jifanye kama unayanywa lakini plz usiyatie mdomon utakufa".nafikiri jamaa alikuwa anajijua kuwa ana maadui akavunga kabisa kama vile hakuna taarifa aliyoipata.

Hiyo ndo ikawa pona yake.nafikiri huyu mjomba alikuwa anaishi na hao waiter na waitress vizuri.
Unapoenda sehemu kama hizo bar hotel au restaurant tujitahidin kuwaheshimu sana waiter &waitress kama wafanyakazi wengine wa ofisin.hata kama huwezi kumpa cash kama asante basi angalau umuheshimu na kumpa japo asante ya heshima.

Asanteni.
 
Tukiacha mambo ya sumu, hao watu wanaweza wakakitemea mate au makohozi hicho chakula chako.

Au, wanaweza kuweka uchafu mwingine wowote ule.

Wanaweza kwa mfano kudondosha sakafuni nyama zako halafu wakazirudisha sahanini.

Kuwatendea watu ni jambo zuri tu popote pale.

Ila pia, kuna watu huwa wana nia ovu tu.

Mtu unaweza kumtendea vizuri sana waiter na bado akakulisha mauchafu kwa sababu tu anafurahia kufanya hivyo.

Mwisho wa siku ni kuombea kukutana na watu walio wema na wenye ustaarabu.

La, kama chakula hujakitengeneza mwenyewe, hutojua kwa uhakika kuhusu usafi wake wala usalama wake.
 
Tukiacha mambo ya sumu, hao watu wanaweza wakakitemea mate au makohozi hicho chakula chako.

Au, wanaweza kuweka uchafu mwingine wowote ule.

Wanaweza kwa mfano kudondosha sakafuni nyama zako halafu wakazirudisha sahanini.

Kuwatendea watu ni jambo zuri tu popote pale.

Ila pia, kuna watu huwa wana nia ovu tu.

Mtu unaweza kumtendea vizuri sana waiter na bado akakulisha mauchafu kwa sababu tu anafurahia kufanya hivyo.

Mwisho wa siku ni kuombea kukutana na watu walio wema na wenye ustaarabu.

La, kama chakula hujakitengeneza mwenyewe, hutojua kwa uhakika kuhusu usafi wake wala usalama wake.
Roho mtakatifu alikuwa ananiambia kuwa leo utachangia katika uzi wangu.Haleluyah
 
Sio kuwaheshimu waiter or waitress ni popote ulipo heshimu watu wa eneo husika nao watu heshimu na ku kulinda na baya lolote pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lazima tuheshimu watu wote na kwa wakati wowote lakin binafsi nimeanza na hao watu na namna ya kuishi nao.

Leo nimeanza na hao wakati mwingine nitakuja na wadada wakazi za ndani,walinzi pamoja wakaka watunza bustani
 
tuheshimiane wote bila kujali hali wala mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.nimeanza nao leo.

Hebu nikuulize swali mkuu,unavyomuheshimu mfanyakazi mwenzako kazini ndivyo unavyomuheshimu na kumchukulia mtu wa muhimu housegirl nyumbni kwako!

Hilo swali waweza kujijibu mwenyewe kama unahishi na huyo mtu au ndg yako aneishi na dada wa kazi nyumbn.

Nilichomaanisha ni kwamba,waiter,dada wa kazi za nyumbn,walinzi wa nyumba zetu na watunza bustani tunawwachulia ni watu wakawaida mno...lakini ukweli utabaki palepale.asilimia kubwa mno kkama sio 99%hawa watu wanachukuliwa kawaida sna.

Mfano dada wa kazi anakuw wakwanza kuamka na wa mwisho kula na kulala.huo ni mfano hai tu.kama kwa ndg yako hujaona hivyo vitendo basi hataa kwa jirani vipo
 
Habari za mchana wakuu.
Bila kupoteza muda naenda kwenye mada husika.

Imekuwa kawaida sana hususan sisi wabongo(wengi wetu)kuwachukulia waiter au waitress watu wakawaida sana wanapokuwa kazini mwao haijalishi ni hotelin,bar au restaurant.

Kwanini ninayasema haya...jana nilikuwwa nimekaa sehemu mimi na rafiki yangu tukibadilishana.meza ya jirani yetu alikuwa mkaka na mdada wamehudumiwa vizuri na waiter mwisho wa siku wakalipa bill yao nafikiri chenji ilibaki,yule jama akachukua pesa zingine akampa waiter 500,waiter alichokifanya ni kuichukua ile hela akamrudishia mwenye aliempa tip akamwambia,asante sana kwa tip lakini siwezi kuichukua"
Kaka akaanza kulalamika watu wengine bhana yani unampa mtu pesa anakataa...akasonya kisha akaondoka.

Tukabaki mimi na shosti wangu alichonisimulia ndicho kilichonifanya kuanzisha huu uzi.
"Akaniambia kwamba alikuwa na mpenzi wake kama sio waiter basi angekuwa marehemu mda mrefu sanaaaa..kivipi!kumbe jamaa(mpenzi wa rafiki yangu)alikuwa na maadui wanaomfuatilia mda mrefu,wakachunguza wakajua sehemu anakopendelea kwenda sana kula.wakamfuata waiter wakampa pesa then wakamwekea sumu kwenye maji ya jamaa aliyekuwa akiwindwa wakamwambia kampe anywe.

Waiter akafika mezana akagawa vinywaji kama kawaida mtu anaewindwa akawa wa mwisho kufunguliwa maji na kuwekewa kwa glass.

Waiter akaanza kuchukua order ya chakula kwa anaetakiwa.wakati anachukua order,akawa anamwambia huyo anaetakiwa kunywa hayo maji yenye sumu kuwa,"usinywe hayo maji yanasumu"jifanye kama unayanywa lakini plz usiyatie mdomon utakufa".nafikiri jamaa alikuwa anajijua kuwa ana maadui akavunga kabisa kama vile hakuna taarifa aliyoipata.

Hiyo ndo ikawa pona yake.nafikiri huyu mjomba alikuwa anaishi na hao waiter na waitress vizuri.
Unapoenda sehemu kama hizo bar hotel au restaurant tujitahidin kuwaheshimu sana waiter &waitress kama wafanyakazi wengine wa ofisin.hata kama huwezi kumpa cash kama asante basi angalau umuheshimu na kumpa japo asante ya heshima.

Asanteni.
watendee haki ila usizoeane nao hasa kama unakunywa au kula sehemu moja mara kwa mara. nilikaa bar na rafiki yangu. akaagiza kinywaji kilikuwa pungufu na kilichofunguliwa tukamwambia dada akadai tumefungua tukanywa bfore ili tusilipe. dah
 
watendee haki ila usizoeane nao hasa kama unakunywa au kula sehemu moja mara kwa mara. nilikaa bar na rafiki yangu. akaagiza kinywaji kilikuwa pungufu na kilichofunguliwa tukamwambia dada akadai tumefungua tukanywa bfore ili tusilipe. dah
Asante mkuu hapo umenena vyema
 
Kun autaratibu wa kufungua maji kabisa kabla ya kumfikia mteja?

🤔🤔
 
Ni kumuomba Mungu tu maana maadui wapo Kila mahali.
 
Kuna Mhudumu mmoja nilikutana nae kwenye Mgahawa mmoja mzuri tu. Yule dada ni mzuri ajabu.
Nikawa napenda kwenda kula pale kila mara kutokana na huduma yake, mchangamfu na anatabasamu kitendo cha kukuona.

Nilipotea kama mwezi bila kwenda pale. Sasa kuna siku nilikutana nae bandarini kavaa na kitambulisho kabisaa.

Tulisalimiana viziru na kumwuliza kulikoni huku tena? Akanieleza kuwa pale alikuwa anajishikiza tu.

Nimsomi wa UD, ana bachelor yake safi ya account na finance. Kwasasa kaajiriwa na kampuni ya kutoa makontena pale.

Nimekuja kutana nae tena kama miez sita baadae, mtoto anaendesha Athlete Crown, hizi tunazoziogopa kwa ulaji mafuta. Ni rafiki yangu sana na kajisaidia kujua vitu vingi.

Aisee,
Toka siku hiyo nina nidham na wahudumu.

Usimdharau mtu usie mjua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mhudumu mmoja nilikutana nae kwenye Mgahawa mmoja mzuri tu. Yule dada ni mzuri ajabu.
Nikawa napenda kwenda kula pale kila mara kutokana na huduma yake, mchangamfu na anatabasamu kitendo cha kukuona.

Nilipotea kama mwezi bila kwenda pale. Sasa kuna siku nilikutana nae bandarini kavaa na kitambulisho kabisaa.

Tulisalimiana viziru na kumwuliza kulikoni huku tena? Akanieleza kuwa pale alikuwa anajishikiza tu.

Nimsomi wa UD, ana bachelor yake safi ya account na finance. Kwasasa kaajiriwa na kampuni ya kutoa makontena pale.

Nimekuja kutana nae tena kama miez sita baadae, mtoto anaendesha Athlete Crown, hizi tunazoziogopa kwa ulaji mafuta. Ni rafiki yangu sana na kajisaidia kujua vitu vingi.

Aisee,
Toka siku hiyo nina nidham na wahudumu.

Usimdharau mtu usie mjua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikudanganya hizo habari za alikua anajishikiza hapo bar.

Hakuna sehemu vijna wa kitengo wamemwagwa kama huko bandarini,sababu mzee baba anaamini kuna wizi umekithiri.

Akili kichwani Bob.
 
Back
Top Bottom