Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo za tip collection ni taratibu za sehemu husika.Thanks mama. Mleta mada hakuweka hiyo taarifa.
Ila huo ni upuuzi. Sehemu nyingi ambazo hawaruhusu waiter mmoja mmoja kuchukua tip, huwa wana basket tip. Hii ni sehemu ambapo tip zote zinaingia na baadaye wote wanagawana pasu kwa pasu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani itakuwa Sudani ya kusini. Ila sumu inaweza kuwa labda iliwekwa kwenye glasi.Kun autaratibu wa kufungua maji kabisa kabla ya kumfikia mteja?
🤔🤔
Najua kuna watu wako humu wako nchi zingine wanaelewa kuwa kumtip waiter au waitress ipo tu kuna nchi nyingine wanaanzia 10-20%ya ulichokitumia.Mama, I get you lakini hata Kama ni wewe ungekwazika. Lakini kwa sababu tunapata one side of the story, then tuna assume Jamaa alikuwa mwenye makosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kunisaidia kuwaelewesha mkuuKuna muhudumu wa hotel alimuokoa jamaa mmoja alifika pale hotel akaa kama wiki,kumbe kuna majambazi wanamfatilia ,yule muhudumu aliwasikia mipango yao akamshutua jamaa akahama kimya kimyaa
Ni vizuri kuwapa tip kwa nia njema maana jamaa alikuwa akimpa tip yule dada na akamuokoa na alikuja jua wale watu ni wa karibu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kabangaKweli kabis, uungwana na ni muhimu, pia mpe mtu tip kulingana na thamani uliyolipa.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha mkuu asikwambie mtu.Tujifunze kuwaheshimu wadada wa kazi wa nyumbani pia Hawa wameshikilia uhai wetu ni vile hatujuagi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes syringe ikipigwa maneno ya pembeni ya mfuniko si rahisi kujua.
Kuna Mlinzi mmoja alimkomesha boss wake wallah huko aliko huyo boss kama hajabadilika sijui..Watu huwa wanawadharau sana walinzi Lkn ni watu wenye msaada mkubwa sana na wana information nyingi sana za watu.
Kweli tuweheshim tu watu wa sekta zoteKuna Mhudumu mmoja nilikutana nae kwenye Mgahawa mmoja mzuri tu. Yule dada ni mzuri ajabu.
Nikawa napenda kwenda kula pale kila mara kutokana na huduma yake, mchangamfu na anatabasamu kitendo cha kukuona.
Nilipotea kama mwezi bila kwenda pale. Sasa kuna siku nilikutana nae bandarini kavaa na kitambulisho kabisaa.
Tulisalimiana viziru na kumwuliza kulikoni huku tena? Akanieleza kuwa pale alikuwa anajishikiza tu.
Nimsomi wa UD, ana bachelor yake safi ya account na finance. Kwasasa kaajiriwa na kampuni ya kutoa makontena pale.
Nimekuja kutana nae tena kama miez sita baadae, mtoto anaendesha Athlete Crown, hizi tunazoziogopa kwa ulaji mafuta. Ni rafiki yangu sana na kajisaidia kujua vitu vingi.
Aisee,
Toka siku hiyo nina nidham na wahudumu.
Usimdharau mtu usie mjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mama. Mleta mada hakuweka hiyo taarifa.
Ila huo ni upuuzi. Sehemu nyingi ambazo hawaruhusu waiter mmoja mmoja kuchukua tip, huwa wana basket tip. Hii ni sehemu ambapo tip zote zinaingia na baadaye wote wanagawana pasu kwa pasu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Mwenye hoteli hataki mteja apate bugudha ya kutoa hela ya ziada. Labda, sina uhakika.Hiv hapa logic huwa ni nini hasa ya kuzuia wahudumu kuchukua tip?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimaanisha alikuwa anajishikiza ktk mgahawa hapo awali kabla ya kwenda bandariniAlikudanganya hizo habari za alikua anajishikiza hapo bar.
Hakuna sehemu vijna wa kitengo wamemwagwa kama huko bandarini,sababu mzee baba anaamini kuna wizi umekithiri.
Akili kichwani Bob.
MKuu kuna tofauti kati ya asante ya tip kutoka kwa mteja kwenda kwa waiter.ninachozungumzi ni tip mteja kukupa yeye sio kuchikichia na chenji ya watu.au kama mteja analipa kwa card 💳 anakusignia tip yako wewe waiter.Kwanza naomba nionye wazi wazi tip sio lazima na mtu kujisikia kwa huduma aliyopata.
Maana kuna baadhi ya maeneo wahudumu huketa figisu kurejesha chenji wakilazimisha tip.
Sent using Jamii Forums mobile app