General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Basi sawaAlikudanganya hizo habari za alikua anajishikiza hapo bar.
Hakuna sehemu vijna wa kitengo wamemwagwa kama huko bandarini,sababu mzee baba anaamini kuna wizi umekithiri.
Akili kichwani Bob.
Mada yako ni nzuri japo nimeshindwa kung'mua ni kwa nini unasema yule Jamaa aliyetoa shs 500 alimdharau yule mhudumu wakati mhudumu ndiye alimdharau kwa kutokupokea ile 500.Habari za mchana wakuu.
Bila kupoteza muda naenda kwenye mada husika.
Imekuwa kawaida sana hususan sisi wabongo(wengi wetu)kuwachukulia waiter au waitress watu wakawaida sana wanapokuwa kazini mwao haijalishi ni hotelin,bar au restaurant.
Kwanini ninayasema haya...jana nilikuwwa nimekaa sehemu mimi na rafiki yangu tukibadilishana.meza ya jirani yetu alikuwa mkaka na mdada wamehudumiwa vizuri na waiter mwisho wa siku wakalipa bill yao nafikiri chenji ilibaki,yule jama akachukua pesa zingine akampa waiter 500,waiter alichokifanya ni kuichukua ile hela akamrudishia mwenye aliempa tip akamwambia,asante sana kwa tip lakini siwezi kuichukua"
Kaka akaanza kulalamika watu wengine bhana yani unampa mtu pesa anakataa...akasonya kisha akaondoka.
Tukabaki mimi na shosti wangu alichonisimulia ndicho kilichonifanya kuanzisha huu uzi.
"Akaniambia kwamba alikuwa na mpenzi wake kama sio waiter basi angekuwa marehemu mda mrefu sanaaaa..kivipi!kumbe jamaa(mpenzi wa rafiki yangu)alikuwa na maadui wanaomfuatilia mda mrefu,wakachunguza wakajua sehemu anakopendelea kwenda sana kula.wakamfuata waiter wakampa pesa then wakamwekea sumu kwenye maji ya jamaa aliyekuwa akiwindwa wakamwambia kampe anywe.
Waiter akafika mezana akagawa vinywaji kama kawaida mtu anaewindwa akawa wa mwisho kufunguliwa maji na kuwekewa kwa glass.
Waiter akaanza kuchukua order ya chakula kwa anaetakiwa.wakati anachukua order,akawa anamwambia huyo anaetakiwa kunywa hayo maji yenye sumu kuwa,"usinywe hayo maji yanasumu"jifanye kama unayanywa lakini plz usiyatie mdomon utakufa".nafikiri jamaa alikuwa anajijua kuwa ana maadui akavunga kabisa kama vile hakuna taarifa aliyoipata.
Hiyo ndo ikawa pona yake.nafikiri huyu mjomba alikuwa anaishi na hao waiter na waitress vizuri.
Unapoenda sehemu kama hizo bar hotel au restaurant tujitahidin kuwaheshimu sana waiter &waitress kama wafanyakazi wengine wa ofisin.hata kama huwezi kumpa cash kama asante basi angalau umuheshimu na kumpa japo asante ya heshima.
Asanteni.
Sehemu nyingine hawaruhusu wafanyakazi kupokea tips zozote kutoka kwa wateja.Mada yako ni nzuri japo nimeshindwa kung'mua ni kwa nini unasema yule Jamaa aliyetoa shs 500 alimdharau yule mhudumu wakati mhudumu ndiye alimdharau kwa kutokupokea ile 500.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mama. Mleta mada hakuweka hiyo taarifa.Sehemu nyingine hawaruhusu wafanyakazi kupokea tips zozote kutoka kwa wateja.
ww unafanya Bar ipi?Habari za mchana wakuu.
Bila kupoteza muda naenda kwenye mada husika.
Imekuwa kawaida sana hususan sisi wabongo(wengi wetu)kuwachukulia waiter au waitress watu wakawaida sana wanapokuwa kazini mwao haijalishi ni hotelin,bar au restaurant.
Kwanini ninayasema haya...jana nilikuwwa nimekaa sehemu mimi na rafiki yangu tukibadilishana.meza ya jirani yetu alikuwa mkaka na mdada wamehudumiwa vizuri na waiter mwisho wa siku wakalipa bill yao nafikiri chenji ilibaki,yule jama akachukua pesa zingine akampa waiter 500,waiter alichokifanya ni kuichukua ile hela akamrudishia mwenye aliempa tip akamwambia,asante sana kwa tip lakini siwezi kuichukua"
Kaka akaanza kulalamika watu wengine bhana yani unampa mtu pesa anakataa...akasonya kisha akaondoka.
Tukabaki mimi na shosti wangu alichonisimulia ndicho kilichonifanya kuanzisha huu uzi.
"Akaniambia kwamba alikuwa na mpenzi wake kama sio waiter basi angekuwa marehemu mda mrefu sanaaaa..kivipi!kumbe jamaa(mpenzi wa rafiki yangu)alikuwa na maadui wanaomfuatilia mda mrefu,wakachunguza wakajua sehemu anakopendelea kwenda sana kula.wakamfuata waiter wakampa pesa then wakamwekea sumu kwenye maji ya jamaa aliyekuwa akiwindwa wakamwambia kampe anywe.
Waiter akafika mezana akagawa vinywaji kama kawaida mtu anaewindwa akawa wa mwisho kufunguliwa maji na kuwekewa kwa glass.
Waiter akaanza kuchukua order ya chakula kwa anaetakiwa.wakati anachukua order,akawa anamwambia huyo anaetakiwa kunywa hayo maji yenye sumu kuwa,"usinywe hayo maji yanasumu"jifanye kama unayanywa lakini plz usiyatie mdomon utakufa".nafikiri jamaa alikuwa anajijua kuwa ana maadui akavunga kabisa kama vile hakuna taarifa aliyoipata.
Hiyo ndo ikawa pona yake.nafikiri huyu mjomba alikuwa anaishi na hao waiter na waitress vizuri.
Unapoenda sehemu kama hizo bar hotel au restaurant tujitahidin kuwaheshimu sana waiter &waitress kama wafanyakazi wengine wa ofisin.hata kama huwezi kumpa cash kama asante basi angalau umuheshimu na kumpa japo asante ya heshima.
Asanteni.
Huyo jamaa hakujiongeza Ila haikuwa sababu ya kumtukana kwa sababu waitress hakuikataa kwa dharau au kejeli.Thanks mama. Mleta mada hakuweka hiyo taarifa.
Ila huo ni upuuzi. Sehemu nyingi ambazo hawaruhusu waiter mmoja mmoja kuchukua tip, huwa wana basket tip. Hii ni sehemu ambapo tip zote zinaingia na baadaye wote wanagawana pasu kwa pasu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama, I get you lakini hata Kama ni wewe ungekwazika. Lakini kwa sababu tunapata one side of the story, then tuna assume Jamaa alikuwa mwenye makosaHuyo jamaa hakujiongeza Ila haikuwa sababu ya kumtukana kwa sababu waitress hakuikataa kwa dharau au kejeli.
(5% to 10%) tip ya total bill inapendeza.Kweli kabis, uungwana na ni muhimu, pia mpe mtu tip kulingana na thamani uliyolipa.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine ma - under cover mkuu.. asante kwa kushare experience yako ila mkuu narudia wengine ni maspy ukimzngua viroba vya coco beach vitahusika.Kuna Mhudumu mmoja nilikutana nae kwenye Mgahawa mmoja mzuri tu. Yule dada ni mzuri ajabu.
Nikawa napenda kwenda kula pale kila mara kutokana na huduma yake, mchangamfu na anatabasamu kitendo cha kukuona.
Nilipotea kama mwezi bila kwenda pale. Sasa kuna siku nilikutana nae bandarini kavaa na kitambulisho kabisaa.
Tulisalimiana viziru na kumwuliza kulikoni huku tena? Akanieleza kuwa pale alikuwa anajishikiza tu.
Nimsomi wa UD, ana bachelor yake safi ya account na finance. Kwasasa kaajiriwa na kampuni ya kutoa makontena pale.
Nimekuja kutana nae tena kama miez sita baadae, mtoto anaendesha Athlete Crown, hizi tunazoziogopa kwa ulaji mafuta. Ni rafiki yangu sana na kajisaidia kujua vitu vingi.
Aisee,
Toka siku hiyo nina nidham na wahudumu.
Usimdharau mtu usie mjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi,mimi si ndo nitakaekuletea vinywaji(kwa mfano)naweza kufungua nikaweka ya kuweka na usijue nikaja mezan nikakuwekea glass nikajifanya nayafungua kumbe tayari nishafungua mda mrefu na hujuiKun autaratibu wa kufungua maji kabisa kabla ya kumfikia mteja?
🤔🤔
Namaanisha hivi..kwenye zile bill kuna sehemu ya kuweka tip na mara nyingi huwa ni ten % ya kile ulichokitumia tufanye umetumia 100000 tip ni 10000 lakini hata ukimpatia 5000sio mbay kwa waiter (wazungu wanalielewa hili).tufanye hivi chenji iliyobaki ni 9500 eti uchukue 9000 umwachie waiter 500,aiseeh hapana ni bora uchukue chenji yote umuachie bill folder leupe(kama kunawaiter au waitress yuko huku anaelewa hiki ninachokisema hapa)Mada yako ni nzuri japo nimeshindwa kung'mua ni kwa nini unasema yule Jamaa aliyetoa shs 500 alimdharau yule mhudumu wakati mhudumu ndiye alimdharau kwa kutokupokea ile 500.
Sent using Jamii Forums mobile app