Jaman tuwaheshimu waiter/waitress tunapokuwa bar,hotelini au restaurant.

Hizo za tip collection ni taratibu za sehemu husika.
 
Mama, I get you lakini hata Kama ni wewe ungekwazika. Lakini kwa sababu tunapata one side of the story, then tuna assume Jamaa alikuwa mwenye makosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua kuna watu wako humu wako nchi zingine wanaelewa kuwa kumtip waiter au waitress ipo tu kuna nchi nyingine wanaanzia 10-20%ya ulichokitumia.

South Africa 🇿🇦 hapo sio mbali.10%kwa waitress aliyekuhudumiA.
 
Asante kunisaidia kuwaelewesha mkuu
 
Tujifunze kuwaheshimu wadada wa kazi wa nyumbani pia Hawa wameshikilia uhai wetu ni vile hatujuagi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha mkuu asikwambie mtu.
Anakuwa wakwanza kuamka wa mwisho kulala na wakati wa kula achangamani na familia.
Tena haya matukio ya wadada wakazi ninayo mengi mno....
 
Watu huwa wanawadharau sana walinzi Lkn ni watu wenye msaada mkubwa sana na wana information nyingi sana za watu.
Kuna Mlinzi mmoja alimkomesha boss wake wallah huko aliko huyo boss kama hajabadilika sijui..

Tunajisahau tu na hatuna ubinadam wakati mwingine
 
Kweli tuweheshim tu watu wa sekta zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikudanganya hizo habari za alikua anajishikiza hapo bar.

Hakuna sehemu vijna wa kitengo wamemwagwa kama huko bandarini,sababu mzee baba anaamini kuna wizi umekithiri.

Akili kichwani Bob.
Alimaanisha alikuwa anajishikiza ktk mgahawa hapo awali kabla ya kwenda bandarini
 
Kwanza naomba nionye wazi wazi tip sio lazima na mtu kujisikia kwa huduma aliyopata.
Maana kuna baadhi ya maeneo wahudumu huketa figisu kurejesha chenji wakilazimisha tip.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza naomba nionye wazi wazi tip sio lazima na mtu kujisikia kwa huduma aliyopata.
Maana kuna baadhi ya maeneo wahudumu huketa figisu kurejesha chenji wakilazimisha tip.

Sent using Jamii Forums mobile app
MKuu kuna tofauti kati ya asante ya tip kutoka kwa mteja kwenda kwa waiter.ninachozungumzi ni tip mteja kukupa yeye sio kuchikichia na chenji ya watu.au kama mteja analipa kwa card 💳 anakusignia tip yako wewe waiter.

Hicho unachokizungumzia wewe ni uswahili na pia ukiweza waweza mshtaki kwa boss wake kuwa kakuibia na sheria ikafuatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…