Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Huyo Wala sio mstaafu, ameleta hii stori kupima hasira za watu. Wadau mnamwaga povu balaa.
Na povu linawatoka kweli kweli...watu wapo bze wanatoka povu kweli kweli kwa story za kutunga...na hili ndio tatzo la social media mtu yoyote anaweza kuamka akajitungia story na watu bila ht kufanya uchunguzi wa dk 2 kujiridhisha na credibility ya habari husika wakaanza kuchangia kwa mihemko yote.
Tumekua victims wa habari za kutunga ktk social media...
 
kwa upumbavu wanaotufanyia acha tumuandame mpaka afe kwa pressure
Na atakufa bila kupata chochote !!!! Mwambie viongozi wa ccm wamefilisi mifuko ya hifadhi ya jamii!!! Watu wamestaafu miaka miwili hawana chochote sio monthly pay wala lampsum!!! Hiyo awalaumu aliokua anawalinda
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Pambaneni na hali zenu.Mabwawa ya umeme yanajengwa.Ndege zimenunuliwa.Hamuoni kazi inafanywa?
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Na ninyi pia?
Wenzenu wa EAC hawajalipwa miezi kadhaa zinabaki ngonjera za uhakiki kama vile hawajulikani
 
Mimi hata nikute poti anakufa na njaa ndio kwanza naagiza soda ninywe!
Wewe soda tu mkuu? Mimi nawanunulia mabarmeid bia tatu tatu, kongoro, na mishkaki miwilimiwili kaunta atapata faru Jon. Poti sio watu mtu wangu.
 
Jeshi la kizalendo liko Malawi. Wananchi waliandamana kupinga ujinga wa serikali, polisi vibaraka wakaleta za kuleta jeshi likaingilia Kati na kuwafurusha polishit
 
Pole Sana serikali inabidi iwape haki yenu, I wonder pia wengine wanaotoa kejeli kwenye swala sensitive hivi
Hakuna kejeli hapo isipokuwa tu ni somo la kujifunza kwamba tusjjisahau sana kwenye nafasi zetu. Na kwamba what goes around comes around.
 
Back
Top Bottom