Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Jenga nyumba nyingi kadri uwezavyo....Baada ya kutoka chuo kikuu, niliamua kufanya biashara ya daladala ili maisha yasonge, cha ajabu hii biashara ni pasua kichwa . Utasikia mara tochi , bao mara gari imehalibika nk
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji , kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili , kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani , naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.
Kilimo ndio mpango.... Tafuta eneo lenye maji ulime kilimo cha umwagiliaji.Baada ya kutoka chuo kikuu, niliamua kufanya biashara ya daladala ili maisha yasonge, cha ajabu hii biashara ni pasua kichwa . Utasikia mara tochi , bao mara gari imehalibika nk
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji , kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili , kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani , naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.
Kaka asante kwa ushauri mzuri, ila ninafanya kazi ya ualimu wa sekondari, labda nipange ratiba yangu upya.Kama huna kazi nyingine geuza hyo gari yako kua ofc yako,endesha mwenyewe,kila baada ya ruti moja ukifika chukua mafao kwa konda,lipia gari vibali vyote vya serekali,endesha kwa kufuata taratibu na sheria za inchi uwapo barabarani.ukifanya hvyo hutajuta na utakuja kunipa asante yangu
Asante mkuuKilimo ndio mpango.... Tafuta eneo lenye maji ulime kilimo cha umwagiliaji.
Asante mkuuJenga nyumba nyingi kadri uwezavyo....
Sawa mkuu, unaonekana una uzoefu kuliko mimi, lengo langu hapa ni kutafuta ushauri kwa watu wenye uzoefu zaidi kuhusu hii biashara, huenda labda mimi ninapungukiwa maarifa fulani.Umeshatoa hitimisho kuwa ni biashara kichaa! sasa unahitaji ushauri wa nn?nipo kwenye biashara ya Dalalada long time ago na sifikiri hata siku moja nitakuja kuacha!kama vp tufanye biashara hiyo hiace uliyonayo uendelee kufundisha
Komaa mkuuBaada ya kutoka chuo kikuu, niliamua kufanya biashara ya daladala ili maisha yasonge, cha ajabu hii biashara ni pasua kichwa . Utasikia mara tochi , bao mara gari imehalibika nk
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji , kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili , kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani , naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.
Baada ya kutoka chuo kikuu, niliamua kufanya biashara ya daladala ili maisha yasonge, cha ajabu hii biashara ni pasua kichwa . Utasikia mara tochi , bao mara gari imehalibika nk
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji , kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili , kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani , naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.
Biashara ya gari ukitakaa iwe nzuri uwe konda wewe mwenyeweBaada ya kutoka chuo kikuu, niliamua kufanya biashara ya daladala ili maisha yasonge, cha ajabu hii biashara ni pasua kichwa . Utasikia mara tochi , bao mara gari imehalibika nk
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji , kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili , kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani , naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.
Ushauri mzuri.biashara ya gari ukitakaa iwe nzuri uwe konda ww mwenyewe
au umpate dereva miaminifu haswa
wengi madereva sio waaminifu
Nna experience nayo hii business kidogo!ushauri mzuri.
Nimekusoma mkuu BAK:Hakuna biashara ngumu kama ya usafiri ni pasua kichwa hasa na usipokuwa makini inaweza kukufilisi kabisa.
Fani za watu maana yake nini? Mbona watanzania tuna mitazamo ya kukatishana tamaa, kwani ukinishauri positively utapungukiwa nini mkuu, haya bwana wewe ni mjanja mimi ni mshamba......... endelea......hiyo ndo athari ya kuvamia fani za watu me siamini kama unajua kauli za kumtongoza trafiki ukijifanya unalipa kila faini utaishia kuwafanyia kazi hao