Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Baada ya kutoka chuo kikuu, niliamua kufanya biashara ya daladala ili maisha yasonge, cha ajabu hii biashara ni pasua kichwa. Utasikia mara tochi, bao mara gari imeharibika nk
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji, kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili, kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani, naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.
Binafsi napenda sana biashara ya usafirishaji, kama kuna mtu ana uzoefu nayo zaidi naomba anisadie.
Pili, kama kuna fursa zingine nzuri zaidi naomba tushirikishane jamani, naweza nikapiga hii chini nikawekeza kwingine.