flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
Ni wiki ya tatu sasa tangu field zianze kwa wanafunzi mbalimbali wa elimu ya juu lakini katika hali ya kusikitisha mpaka sasa hawajapata fedha ya kujikimu kwa ajili ya field baadh waliotangulia kwa gharama zao wenyewe wako ktk hali mbaya sana kifedha na wengine bado hawajawasili katika maeneo mbalimbali waliyopangiwa kwa ajili ya field.....
bodi ya mikopo wanasema hawana fedha wanasubiri hazina iwapelekee na hazina nayo haijatoa majibu ya kueleweka kwamba lini wataipa bodi fedha hiyo......Tunataka kusikia kauli ya serikali lini fedha hizi zitapelekwa kwa wahusika.....wadau wa Elimu na wanaharakati mbalimbali saidieni hambo hili
haahahaaaa polen wapendwa mi nawashauri andamaneni had hazina
Vip kuhusu SAUT TABORA?
kwa kweli bodi ya mikopo ifike hatua muwe na aibu hivi hela zetu bado munafanyia biashara tu?
Nani asiyejua udhalimu uliopo ndani ya bodi ya mikopo mtu akiajiliwa leo baada ya miezi yaa mitatu ana gari la kukata na shoka hivi hela munazito wapi kama hela zetu munaenda kuzizungusha,,, UDSM, UDOM, SAUT, Mzumbe tuungane kwa pamoja tukadai hela zetu.
Sasa wewe ushajua yeye mbuzi halafu unaongea naye nawe sasa chizi.
tatzo la hela ya field kuchelewa kuna sababu nyingi, kwanza ni udhaifu wa serikali za wanafunzi kuwa karibu sana na utawala na kusahau majukumu yao, pili serikali hizi hizi za wanafunzi zimeshindwa kwa kiasi kikubwa kuwashirikisha wanfunzi ni namna gani ya kuzipata hizi pesa, coz hizi hela zipo sema tu ni namna gani ya kuzipata ndio serikali zetu za wanafunzi zimeshindwa..tatu wanafunzi wa miaka hii tumekuwa dhaifu mno mpaka tunashindwa kujua aki zetu, huwa najiuliza mitaani tutakuwaje....coz kwa sasa wanafunzi kucheleshewa malipo yao imkuwa ni swala la kawaida,,zamani UDSM ndio walikuwa wakombozi na mabigwa wa kudai haki lakini hali siyo kama zamani tumepowa sana jamani hebu tuamke, na mwisho nitoe ushauri kama inawezekana wanafunzi wote ambao hawajapata hela ya field waandamane kwa mkuu wa mkoa popote alipo.
kwa kweli bodi ya mikopo ifike hatua muwe na aibu hivi hela zetu bado munafanyia biashara tu?
Nani asiyejua udhalimu uliopo ndani ya bodi ya mikopo mtu akiajiliwa leo baada ya miezi yaa mitatu ana gari la kukata na shoka hivi hela munazito wapi kama hela zetu munaenda kuzizungusha,,, UDSM, UDOM, SAUT, Mzumbe tuungane kwa pamoja tukadai hela zetu.