KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 258
- Thread starter
- #41
vizuri, ndo hiki kinachotakiwa ushrikianon kwa wote ili tulete ukombozi, hata hapam uDSM kuna baadhi ya collage walishalipwa, na hilin lilifanyika kwa lengo la kutuguwa na kuvunja umoja ili tusiweze kudai hela zetu, lakini amini usiamni tukifungua lazima DARUSO ivunjwe coz wameshindwa kufanya kazi tuliyo watumja