Kiuharisia hauwezi kureply kitu ambacho haujakipenda ko ishara ya kukipenda ni Like then ndo unareply ila kila mtu na anavyopendaHahahahah uwe unatoa like kwanza ndo unareply
Au hili ndio jukwaa la wakubwaKibaba na kimama
Wala haina tabu sisi tena tukikutana hakiharibiki kitu my DemissKuna rafiki yangu wa Jf wa mwanza nikija lazima tumtafute kasema samaki watanikomaaa nikijaaa
Hurrem ananipa raha sana eti jana anasema heee siku hizi nimekuwa mcharoJaman miaka 1000 nakupenda na weweView attachment 880022
Makubwaaa basi ngoja nichukue mafunzo zaidiiSema mm kwa kudeka ndo kunaniponza utanidekeza tu hakuna namna
Ko hapo swafi umeridhika Afu Yule bwana Mizizi Jr nishida isije ikawa yuko kufanya yake huko mara unakuta mnara wangu hausomi hata 2GAaaah kumbeeee
Sawa utadeka utakavyoHahahahahhaha nimecheka sana ujue wewe jifunze tu
Tumewahi gombana? sidhani, au kumsema Mshana ndio kosa?Aaaah bhn nn mm nimeandika ujue ninataman kukuambia mazur sema tulishagombana kitambo wacha nipotezee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siunajua anaweza kugeuza maji ya bahari kua maziwa lazima uwe muoga mara kitu hainasi mawimbi lazima nimtimbie huko huko kwake usiku wa manane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yamekuwa hayo tena
Usijali utapata ile Nissan aina ya Co... Kama tulivyokubaliana ile siku kwamba sitalipa nauli.Na mimi nakuombea unijie na yangu pia.
Halafu Man Utd toka afungwe sijakupa pole unajua...
Usijali utapata ile Nissan aina ya Co... Kama tulivyokubaliana ile siku kwamba sitalipa nauli.
Daah[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] kwa hiyo kunipa pole ndiyo umenifuata hadi huku. Ngoja basi nipumue kidogo.