Jamani DEMISS nina rahaaaaaaaaa leoo!

Jamani DEMISS nina rahaaaaaaaaa leoo!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yamekuwa hayo tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siunajua anaweza kugeuza maji ya bahari kua maziwa lazima uwe muoga mara kitu hainasi mawimbi lazima nimtimbie huko huko kwake usiku wa manane
 
Na mimi nakuombea unijie na yangu pia.

Halafu Man Utd toka afungwe sijakupa pole unajua...
Usijali utapata ile Nissan aina ya Co... Kama tulivyokubaliana ile siku kwamba sitalipa nauli.

Daah[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] kwa hiyo kunipa pole ndiyo umenifuata hadi huku. Ngoja basi nipumue kidogo.
 
Back
Top Bottom