Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

Tofauti ya utamu
inajengwa na hisia zako mwenyewe! fikiria mimi nnayependa mwanamke
halisi wa kibantu, mwenye makalio ya haja, mguu wa bia sura nzuri eeenh!
nikiwa na mwanamke wa dizaini hii kwa kweli siku hiyo mpini wangu
utataka hata kukatika kwa mcheche, ntajiona nimepata kitu cha uhakika na
kweli kutokana na imagination basi sex itakuwa supa. nilishawahi kuwa
na demu wa kawaida sana tu alinipenda sana tena sana lkn sikuwa na
future naye coz hakuwa na features nazozipenda.
Hata wale wanaopenda wanawake wembamba wanasisimka zaidi wakimpata yule
anayekidhi imagination zao game linakuwa barabara na kuona utamu zaidi.
Wanaume wengi tukiwa vijiweni kwetu utasikia jinsi wanaume wanavyo
imagine akiwa na mwanamke wa dizaini flani jinsi atakavyojituma, au
style gani atatumia na kuonesha jinsi ndoto zinavyojenga hisia za
binadamu. Hata Wanawake utasikia napenda mwanaume mrefu, labda mweusi,
ikitokea ampate wa dizaini hiyo anayomtaka basi game litakuwa
limeshachezwa nusu mengine ni kumalizia tuu kunako 6*6.

Sasa huyo asiyefikia vigezo unavyotaka ulitongozewa?
 
Thank you....bado asubuhi ndo maana...au pengine nimekuelewa zaidi ulichotaka..wareva:coffee:

Tupo ukurasa mmoja
Kaizer so kahawa imekuchangamsha but ikiwa ni jion ushapata kaizer yako mambo ni tofauti kabisa au siyo.............mmmh! wewe.
 
Last edited by a moderator:
mi naona utundu unafanya raha iongezeke, cos kuna wanaosoma gazeti wanalaumiwa na wanao nengua viuno wanapendwa, so tofauti ipo hata size ya mhogo inachangia
 
Asprin sasa wewe unataka kuyajua hayo yote sasa nakupa majibu kama ifuatavyo:-
Ulikuwa unawaza nini?......... jibu - watu wanajua nini wanachokipata kwa wenzi wao?
Ulikuwa unamuwaza nani?........jibu- possibly wewe na Kongosho na Eiyer na Kaunga
Ulikuwa umeshakula?..........jibu - hapana but nilikuwa safarini
Ulikuwa umeshika nini?......jibu laptop
Ulikuwa unakumbuka nini?......jibu -barabara ya 12 mlikohamishia majesh wewe na Kongosho
Ulikuwa umemiss nini?........jibu---kumuona Eiyer na Kaunga lakin pia stori za barabara ya 12 toka kwa Kongosho manake nilijua ndio mida hii mnajiswafi mwende kunako 6*6.

unalo hilo babuuu weee! miye nimetangaza nia ila kwa ambaye hatanitenda awe na nidhamu kama eiyer na nafikir Kaizer waweza nisaidia manake nakuona unanidham au hunipend? jamani mwenzio mimi kwako roho dondoka kabisa.

hyu Asprin yeye nikiembe so nisaidie ma swtlo.............

sasa gfsonwin, kama Asprin na Kongosho walikuwa barabara ya 12 huko Tanga nadhani sisi tuende next level iwe ya 18 ndo mambo yote, tufikishane orgasm biologically
 
Last edited by a moderator:
You know I cant say it here Kaunga so please dont hook me up yet....hivi weekend hii si tutakuwa na maungamo ama ndo kwanza unajaribu 'dhambi' mpya?:coffee:

Weekend hii na zote zinazofuata nitakuwa na wangu Eiyer tukivinjari kwenye beach za mwanza na kutafuta matunda porini. gfsonwin ana hamu ya kuja kufanya maungamo kwako maana she real needs help. I know how good you are at that, so dont disappoint my friend.

Halafu Erotica (sikutakiwa kusema hili but nimeshidwa kujizuia), yupo Antananarivo na Invisible she is checking him out kama anaweza kuwa mume mzuri; of course sex is not involved.
 
Last edited by a moderator:
sasa gfsonwin, kama Asprin na Kongosho walikuwa barabara ya 12 huko Tanga nadhani sisi tuende next level iwe ya 18 ndo mambo yote, tufikishane orgasm biologically
Kaizer umeona eeh! yaani mimi ni wako tu, nakupendaje jamani? wasitudoboleshee mapenzi yao sasa waje waone. kwako wee moyo umekufa hata waseme Asprin na Kongosho sisi bado twapendana tu na tupo ili kupeana raha. Hata Kaunga kasema, wewe ni mzuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Actually every person is differ from another.Na hii nikutokana na umbaji wa mungu mwenyewe,utamu wa mtu na mtu kutokua mtamu inatokana na mtu kuitambua au kutoitambua special unique yake aliopewa na mungu.
 
AMEEEEEN

Hivi hommie Kaizer, kama leo ni ijumaa si inamaana kesho ni jumamosi siyo?
Kaizer asikusumbue huyu kwani hana kalenda nyumbani kwake hana lolote. Mimi na wewe kesho asubuh tu tuko pamoja tule raha zetu bwana si unajua mambo ya wkend? nitakupa raha na najua utanipa raha nifikie biological orgasm siyo haya mafeki ya vitoto wa siku hizi.
 
Last edited by a moderator:
Utamu ni kukojoa/orgasm tu. Sasa ili ukojoe/ufike kileleni manjonjo gani yametumika hayo mambo mengine sasa na hapo ndipo penye mpagawisho. Ukikutana na mtoto wa kimakonde utakuchezeshea mauno kwanza anakuinua uchungulie dirishani umtajie umeona nini nje, akikushusha anakupeleka tena mara ya pili umsonye unayemuona nje akikushusha mambo tayari.

Mara ya tatu anakunyanyua tena dirishani anakuambia tema mate akikurudisha chini tayari mwepesiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
 
Actually every person is differ from another.Na hii nikutokana na umbaji wa mungu mwenyewe,utamu wa mtu na mtu kutokua mtamu inatokana na mtu kuitambua au kutoitambua special unique yake aliopewa na mungu.

hapa mkuu naona pana point sana has juu ya kuitambua unique feature yako uliyopewa na mungu na namna ya kuitumia. sijui kama watu wengi wanalifaham hili. manake love making haiishii kwenye kuwa na K&M ni zaid ya hapo.
 
Mara ya tatu anakunyanyua tena dirishani anakuambia tema mate akikurudisha chini tayari mwepesiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
kinyoba hizi ni hatari sana manake unaweka sindano chini ukirud inakuchoma so unamtuma akuangalizie nani anapita nje chezeya vibration weye.
 
Last edited by a moderator:
Kaizer asikusumbue huyu kwani hana kalenda nyumbani kwake hana lolote. Mimi na wewe kesho asubuh tu tuko pamoja tule raha zetu bwana si unajua mambo ya wkend? nitakupa raha na najua utanipa raha nifikie biological orgasm siyo haya mafeki ya vitoto wa siku hizi.
Sasa bibie gfsonwin, maadam utakuwa na Kaizer basi nifanyie mpango kwa Kaunga. Naona kama tutaendana sana. Kongosho ananibania sana siku hizi anasema eti kashazeeka hawezi tena kufika Kibo anaishia mawenzi tu.
 
Last edited by a moderator:
Weekend hii na zote zinazofuata nitakuwa na wangu Eiyer tukivinjari kwenye beach za mwanza na kutafuta matunda porini. gfsonwin ana hamu ya kuja kufanya maungamo kwako maana she real needs help. I know how good you are at that, so dont disappoint my friend.

Halafu Erotica (sikutakiwa kusema hili but nimeshidwa kujizuia), yupo Antananarivo na Invisible she is checking him out kama anaweza kuwa mume mzuri; of course sex is not involved.

nakushukuru sana ma dia Kaunga kwa kunibembelezea kwa Kaizer. mimi hata kama hajui nitamfundisha tu, manake nilimfundisha Kongosho ma vibration sasa hivi Asprin anaenjoy life tu. so mm kwel namuhitaj [EMAIL=" Kaizer" Kaizer[/EMAIL] do you hear me ma swtlo....................am down to you ma baby.
 
Last edited by a moderator:
No matter what, bado nakubali wanawake wanatofautiana ladha, tena sana.

Japo siwezi kwenda into details.
 
kwa kweli utamu au uchungu wa hiyo kitu hauelezeki. kila mtu ata-sense kivyake.
 
Sasa bibie gfsonwin, maadam utakuwa na Kaizer basi nifanyie mpango kwa Kaunga. Naona kama tutaendana sana. Kongosho ananibania sana siku hizi anasema eti kashazeeka hawezi tena kufika Kibo anaishia mawenzi tu.

sasa umeona eeh! ndicho nilichokuwa na discuss kwamba kuna utundu binafsi unahtajka hapo ili kumfikisha. aisee kwa Kaunga ni big no she is engaged to Eiyer na wanaenjoy sana sitak mtu aichakachue kabisa ndoa hii. Mimi ndiye mlez wa hi ndoa so siwez hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
No matter what, bado nakubali wanawake wanatofautiana ladha, tena sana.

Japo siwezi kwenda into details.

Me agree with you Kongosho tena sana tu. Kama wewe siwezi kwenda kwenye details, nikumbuka The Boss alivyokuwa anakusema..... LOL
 
sasa umeona eeh! ndicho nilichokuwa na discuss kwamba kuna utundu binafsi unahtajka hapo ili kumfikisha. aisee kwa Kaunga ni big no she is engaged to Eiyer na wanaenjoy sana sitak mtu aichakachue kabisa ndoa hii. Mimi ndiye mlez wa hi ndoa so siwez hata kidogo.

Me love a friend like you, hicho kibabu Asprin sijui nikipelekee wapi wakati nina kijana wangu wa ukwelii Eiyer pembeni. Na wewe Eiyer si nilikukataza kutoa siri za chumbani, unaona sasa hadi vibabu vinaanza kutoka udenda. Shetani akinipitia usinilaumu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom