Jamani hali imekua ngumu

Jamani hali imekua ngumu

Karot

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2017
Posts
1,159
Reaction score
1,313
*Eti jana usiku mwizi kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabidi na mimi niamke; nikamuuliza anatafuta nini akanijibu HELA ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hata hela ya kula Jana sikuanayo alichoka nami nikachoka maana tulipekua kweli kweli; ikabidi nimuulize "una uhakika uliweka humu?" Akashangaa*

[emoji15][emoji15][emoji15]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Na bado

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom