Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,313
*Eti jana usiku mwizi kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabidi na mimi niamke; nikamuuliza anatafuta nini akanijibu HELA ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hata hela ya kula Jana sikuanayo alichoka nami nikachoka maana tulipekua kweli kweli; ikabidi nimuulize "una uhakika uliweka humu?" Akashangaa*
[emoji15][emoji15][emoji15]
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15]
Post sent using JamiiForums mobile app