JAMANI HALMASHAURI YA MUHEZA IMEIBIA WATUMISHI

JAMANI HALMASHAURI YA MUHEZA IMEIBIA WATUMISHI

Ila taaisi zingine mshahara unaenda na slip pamoja
Ipi hio mkuu,Elimu mishahara ni tarehe 22-25 kila mwezi na Salary slip ni tarehe 30-31 ya kila mwezi(kasoro mwezi wa pili tu ni 2😎

Sijui kama uko sahihi.
 
[quote uid=394462 name="dustless" post=18168457]Habari wana jf.<br />Leo mishahara yetu isiyokuwa na ongezeko lolote tangu mwezi July imetoka. Cha ajabu Mwezi huu tumekatwa zaidi ya elfu 57 kila mmoja. Jamani tunakwenda wapiii. Hii imetokea tena kwa kada ile ile kadamizwa, yaani waalimu kama ilivyo ada kada hii ndo shamba la kujifunzia kila aina ya manyanyaso ya kila aina. Sijui kada hii tumelogwa au vipi. Sasa naomba mje mnidhamini maana moto nilionao naamini ntafungwa siku ya jumatatu coz leo si Siku ya kazi.. Natamani niende saiz nikalale halmashauri mpaka jumatatu.. Nafundisha hisabati niko peke yangu shule nzima kwa mshahara mdogo halafu bado naibiwa licha ya kuwa nalipa deni langu la bodi ya mikopo..<br />Nawasisha..

Pole mkuu.

Nakulaumu kwa kuwa na wema wa mshumaa,yaani unafanya kazi kwa bidii kwa kutegemea kulipwa siku ukifa na kuzikwa.

Tumia muda mwingi kwa kufanya mambo yako,hakuna mwenye nia njema nawewe hapa Tanzania.

Shuleni na darasani nenda kama ushahidi lakini wape matangopori.[/QUOTE]
Nafkir hadi kesho kuna maamuzi magumu sn ntakua nimeyafanya
 
Hili kweli janga, Yaani mkuu hakuna maelezo kwenye salary slip ?
 
Habari wana jf.
Leo mishahara yetu isiyokuwa na ongezeko lolote tangu mwezi July imetoka. Cha ajabu Mwezi huu tumekatwa zaidi ya elfu 57 kila mmoja. Jamani tunakwenda wapiii. Hii imetokea tena kwa kada ile ile kadamizwa, yaani waalimu kama ilivyo ada kada hii ndo shamba la kujifunzia kila aina ya manyanyaso ya kila aina. Sijui kada hii tumelogwa au vipi. Sasa naomba mje mnidhamini maana moto nilionao naamini ntafungwa siku ya jumatatu coz leo si Siku ya kazi.. Natamani niende saiz nikalale halmashauri mpaka jumatatu.. Nafundisha hisabati niko peke yangu shule nzima kwa mshahara mdogo halafu bado naibiwa licha ya kuwa nalipa deni langu la bodi ya mikopo..
Nawasisha..
Da! mie ndo nimechoka hata sina hamu kwa kweli!
 
Back
Top Bottom